Naipenda simu yangu ya windows

Naomba tutafutane 0713 758165. Nina lumia 900 inanichanganya
 
Nina lumia 900. Mara nyingi inagoma kuzimika, pia inachemka sana. Nifanyeje? Msaada tafadhali
 
Msaada Nokia Lumia 830 inahindwa Kuupdate kwenda windows 10 inaandika ivyo
 
jaribu ku hard reset kwanza then ndo uendelee na mchakato wa ku update
Nilifanikiwa mkuu kumbe wireless niliyokuwa natumia ndo ilikuwa na tatizo baada ya kuchange mambo yakawa safi


Sent from mTalk
 
Samahani chief mkwawa mtalk ina nisumbua nina wiki mbili sijatumia jamii forum kwa kupitia simu. Naweza pata apps nyingine zaidi ya mtalk kwenye window phone
 
Samahani chief mkwawa mtalk ina nisumbua nina wiki mbili sijatumia jamii forum kwa kupitia simu. Naweza pata apps nyingine zaidi ya mtalk kwenye window phone
Nilijua tatizo lipo kwangu tuu!!? Nahisi JF imeondolewa mtalk
 
Nilijua tatizo lipo kwangu tuu!!? Nahisi JF imeondolewa mtalk
Hata mimi nilihisi ni kwangu tu, basi kama kwako pia inawezekana JF imeeondolewa mtalk. Ngojea tusubili majibu ya chief mkwawa
 
Hata mimi nilihisi ni kwangu tu, basi kama kwako pia inawezekana JF imeeondolewa mtalk. Ngojea tusubili majibu ya chief mkwawa
Hivi WP si kuna Tapatalk? si bado JF ipo? Nimerudi Android baada ya kukosa Support na hardware ila nakumbuka nilikuwa naingia JF via tapatalk wakati nipo WP
 
msaada kwenye hili mkuu nimekutana na hii kitu kichwa inauma laptop hii nimeweka drivers zote ila
ideapad 100s keyboard mouse not working msaada mkuu
 
haipo stable au haijamature kivipi..sababu almost app zote za ios na android unazipata mule ukikosa kabisa unapata equivalent yake. sema mshazoea ku root root kune hakuna panya road huwezi penya aisee.
Vp sharo mi nashida natumia nokia lumia 510 ss nataka ku update siwezi nifanya je mkuu ili ni enjoy
 
Iulize Sanane wa CDM yuko wapi kama inajibu kila swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…