Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,417
- 9,806
Kwanza kabisa kama ikiwapendeza FIFA kwa mwaka huu World Cup isifanyike maana wananchi washamaliza burudani yote. Hivi tutarajie kuona nini kingine kutoka kwa kina Messi, Neymar, Mane, De Bruyne ambacho hatukukiona jana pale Tunisia? Nitajie kimoja tu?
Twende kwenye mada husika. Nimeangalia timu zote zilizofuzu sioni timu yoyote ya kuwasumbua wananchi huku confederation. Najua watu watasema hatua ya mtoano itawagharimu wananchi maana hawafungi magoli ya kutosha nyumbani na hii ni sababu kwa kawaida tulishazoea timu inalinda 'away' kwa kutegemea kwenda kushinda nyumbani.
Ila wananchi chini ya Professor Nabi wamekuja na utamaduni mpya, yaani unapigiwa mpira mkubwa kwako na ugenini. Kama unabisha waulize Al Hilal waliopaki basi dakika 180 na Club Africain, kwaiyo kwa wapinzani wa Yanga uko CAF kupata sare kwa Mkapa siyo suluhisho.
Kwa kule CAF Champions League nawapa nafasi zaidi Mamelod Sundowns. Mwakani naiona kabisa CAF Super Cup ya Yanga dhidi ya Mamelod Sundowns.
Twende kwenye mada husika. Nimeangalia timu zote zilizofuzu sioni timu yoyote ya kuwasumbua wananchi huku confederation. Najua watu watasema hatua ya mtoano itawagharimu wananchi maana hawafungi magoli ya kutosha nyumbani na hii ni sababu kwa kawaida tulishazoea timu inalinda 'away' kwa kutegemea kwenda kushinda nyumbani.
Ila wananchi chini ya Professor Nabi wamekuja na utamaduni mpya, yaani unapigiwa mpira mkubwa kwako na ugenini. Kama unabisha waulize Al Hilal waliopaki basi dakika 180 na Club Africain, kwaiyo kwa wapinzani wa Yanga uko CAF kupata sare kwa Mkapa siyo suluhisho.
Kwa kule CAF Champions League nawapa nafasi zaidi Mamelod Sundowns. Mwakani naiona kabisa CAF Super Cup ya Yanga dhidi ya Mamelod Sundowns.