Hii ni baada ya tukio lililokua likisubiriwa kwa Muda mrefu na wanasimanjiro kwa JAMES OLEMILLYA kuchukua Leo fomu ya kugombea Jimbo la Simanjiro.
Hii ni ishara njema na nyota njema huonekana asubuhi.
Kila lakheri Kamanda, kila lakheri Mwana mwema na mzalendo wa kweli anaeguswa na mateso wanayopata wanasimanjiro kutokana na mifumo dhaifu, kandamizi, na ya kishetani ya ccm na mawakala wake kama Sendeka.
Imekwisha!!!!!!
Hii ni ishara njema na nyota njema huonekana asubuhi.
Kila lakheri Kamanda, kila lakheri Mwana mwema na mzalendo wa kweli anaeguswa na mateso wanayopata wanasimanjiro kutokana na mifumo dhaifu, kandamizi, na ya kishetani ya ccm na mawakala wake kama Sendeka.
Imekwisha!!!!!!