Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu Nimewaza Mbali Sana Kwamba Utafika muda Chanjo itakuwa kama Vitambulisho Vya NIDA Vile.
Sasa Hivi Tunabembelezana na Kuambiana ni Hiyari ila utafika wakati tutakimbizana na Kuitafuta Kwa Nguvu Sana.
Mimi Leo NimeFanya Booking ya Kuomba Kuchanjwa Ila Sasa Kama Chanjo Ni Hiyari Kwa Nini Kuwe na Masharti Kwa Wanaotaka Chanjo?
Kwa Nini Mtu anaetaka Chanjo Asifanye Booking mpaka Kuwe sijui Watu Wa Afya, Watu Wenye Umri kuanzia 50+, Watu Wenye Matatizo ya Afya Pekee?
Sasa Hivi Tunabembelezana na Kuambiana ni Hiyari ila utafika wakati tutakimbizana na Kuitafuta Kwa Nguvu Sana.
Mimi Leo NimeFanya Booking ya Kuomba Kuchanjwa Ila Sasa Kama Chanjo Ni Hiyari Kwa Nini Kuwe na Masharti Kwa Wanaotaka Chanjo?
Kwa Nini Mtu anaetaka Chanjo Asifanye Booking mpaka Kuwe sijui Watu Wa Afya, Watu Wenye Umri kuanzia 50+, Watu Wenye Matatizo ya Afya Pekee?