Huyu alleged Drug Kingpin aliposhikwa Dar nilijiluliza maswali mengi!!!
1.Alipataje passport ya Tanzania?
Je hakuna hata afisa uhamiaji aliyewajibika?
2.UWT ,i am sure mnasoma hii blog,mnafanya nini mpaka seikali ya USA iwasaidie hii intelligence?
3.Jeshi la Polisi,naona mko ok kushoot to kill Watanzania wenzenu wakiwa na peaceful demonstration!
Dirty money ndio mzunguko sasa kuanzia za Madawa,uharamia wa Wasomali etc.
I cry to my beloved TANGANYIKA
1.Alipataje passport ya Tanzania?
Je hakuna hata afisa uhamiaji aliyewajibika?
2.UWT ,i am sure mnasoma hii blog,mnafanya nini mpaka seikali ya USA iwasaidie hii intelligence?
3.Jeshi la Polisi,naona mko ok kushoot to kill Watanzania wenzenu wakiwa na peaceful demonstration!
Dirty money ndio mzunguko sasa kuanzia za Madawa,uharamia wa Wasomali etc.
I cry to my beloved TANGANYIKA