Mbii mbwane! Ni vizuri umeahidi kufundisha uraia mkoani kwako. But nijuavyo hata mikoa mingine kama Arusha wapinzani wamepata mbunge mmoja ama hamna kabisa. So ni bora hata ya sisi. Kuna mikoa mingine pia CCM hawajapata kitu kama ukienda kule Pemba, nk. Kuna mikoa mingine pia Chadama wameambulia patupu, zaidi hata ya Singida. Ndugu yangu badala ya kumsifia Tundu Lisu ni bora kufanya upembuzi yakinifu. Ninachosisitiza pia sio majimbo kwenda upinzani bali utendajiwa mbunge, awe Chama Tawala ama pinzani. Kuna wabunge Iramba naamini wanaweza wakawa wazuri kuliko hata Tundu Lisu. Kuyaamrisha mashirika ya hiari yaende Singida si hoja bora kwani pia ni kuyadhalilisha mashirika ambayo tayari yapo Singida yakitekeleza ukisemacho. Zaidi nakuhakikishia Tundu Lisu hana tija sana, subiri utaona.
Kukataa chama ni njia ya kwanza kuonyesha kuchoshwa, hata kama wataweka mgombea unayemuona wewe anafaa. Kwani huko monduli na huko singida si walewale tu. Jimbo moja la Arusha mjini limebeba msg kubwa sana ka hujui. Wewe huoni tofauti kati ya jimbo la Arusha mjini na huko kwingine?