Naijutia sh.30000 yangu

Pamoja na kukosa mkopo naommba usijutie 30 yako maana imekusaidia kukutuliza kiakili. Naamanisha kama usingeshiriki kwenye mchakato huo ungedumu ukijilaumu na kujiona ulizembea pndi ambapo wenzako wenye sifa kama zako wangefanikiwa. ila kwa hiyo 30 inaonyesha uzembe haukuwa kwako na hivyo itakuuma kwa muda tu na utasahau. (Pia 30 imehamisha lawama toka kwako kwenda kwa bodi). hiyo ndio kazi ya 30 yako. POLE SANA
 
Pamoja na kukosa mkopo naommba usijutie 30 yako maana imekusaidia kukutuliza kiakili. Naamanisha kama usingeshiriki kwenye mchakato huo ungedumu ukijilaumu na kujiona ulizembea pndi ambapo wenzako wenye sifa kama zako wangefanikiwa. ila kwa hiyo 30 inaonyesha uzembe haukuwa kwako na hivyo itakuuma kwa muda tu na utasahau. (Pia 30 imehamisha lawama toka kwako kwenda kwa bodi). hiyo ndio kazi ya 30 yako. POLE SANA

Asante
 
Back
Top Bottom