Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Nadhani ni mara ya pili nasikia kiongozi wa juu wa Taifa akisema kuchimba madini ta uranium hakuna madhara ya mionzi, akitoa wazo kwamba uranium kama malighafi haina madhara hadi itakapokuwa "processed".
Nadhani huu ni ukihiyo, na viongozi wetu hawapaswi kutoa kauli zenye kupotosha kama hizi, ukizingatia kwamba mwananchi wa kawaida atadhani uranium ikitolewa ardhini haina madhara hadi itakapokuwa processed.
Angalia alichosema Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele;
Naibu Waziri huyo alisema kazi ya Wizara ya Nishati na Madini ni kutoa leseni baada ya Nemc kufanya tathmini ya athari ya kimazingira. Hata hivyo, alisema kinachotarajiwa kuchimbwa nchini ni malighafi, ambayo kwenye ardhi ya Tanzania ipo na haijaleta madhara yoyote.
Source: IPP Media
Nadhani huu ni ukihiyo, na viongozi wetu hawapaswi kutoa kauli zenye kupotosha kama hizi, ukizingatia kwamba mwananchi wa kawaida atadhani uranium ikitolewa ardhini haina madhara hadi itakapokuwa processed.
Angalia alichosema Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele;
Naibu Waziri huyo alisema kazi ya Wizara ya Nishati na Madini ni kutoa leseni baada ya Nemc kufanya tathmini ya athari ya kimazingira. Hata hivyo, alisema kinachotarajiwa kuchimbwa nchini ni malighafi, ambayo kwenye ardhi ya Tanzania ipo na haijaleta madhara yoyote.
Source: IPP Media