johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Naibu Waziri wa Nishati ameliambia bunge kuwa Majaribio ya uzalishaji Umeme kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere utakamilika tarehe 16 mwezi huu na hapo hali ya Umeme nchini itatengamaa
Naibu Waziri amewaomba Wananchi waendelee kuwa wavumilivu katika muda huu mchache uliobaki
Source: EATV
Naibu Waziri amewaomba Wananchi waendelee kuwa wavumilivu katika muda huu mchache uliobaki
Source: EATV