Wanazuunga na kusambaza changamoto za upumuaji kwa kishindo, cha nchi ya chama kimoja.Kwani huyu jamaa kwao Ni dodoma au moro?
Covid inakuja na homa kali sana
Kheri hawa wanafanya sherehe ya mwisho kama yafanyavyo makanisa kuliko wale wa Lumumba wasiojali kabisa kuwa kuna mtu amefariki.OK pole kwake and quick recovery
Japo wana ccm akifa mpinzan kwao Ni sherehe
Hivi Gerson Msigwa anaendeleaje?Watu Wanaogopa Kusema Update Ipo
Benjamin Mkapa Hospital
Ukiona Thread Inafukuliwa Jiongeze
Covid inakuja na homa kali sana
Vipi wewe ulikuwa umevaa barakoa!?Jana nlipita maeneo ya obay nlikuwa naenda masaki kwenye magumashi yangu nlipita elements pale aise ile nyomi kweli wabongo wabishi bado wanashindwa kujiongeza
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nlikuwa nmevaa kininja nmepita juu kwa juu hapoVipi wewe ulikuwa umevaa barakoa!?
Au ni miongoni mwa 'wabishi'
Na hayo maeneo kuanzia Posta,Masaki mpaka Osterbay huko ndiko Corona ndio imekita mizizi.Jana nlipita maeneo ya obay nlikuwa naenda masaki kwenye magumashi yangu nlipita elements pale aise ile nyomi kweli wabongo wabishi bado wanashindwa kujiongeza
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
CORONA
Dar es Salaam, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro akisumbuliwa na homa kali.
Akizungumza na MCL Digital, Mavunde amesema alipelekwa hospitalini hapo usiku wa kuamkia leo Jumapili Machi 18, 2018 baada ya kujisikia vibaya.
“Nililetwa hapa usiku na kwa sasa naendelea kupatiwa matibabu,” amesema Mavunde.
Chanzo: Mwananchi
CORONA
😆😆😆habari ni ya mwaka 2018 wewe unaisingizia corona
vitu SHWAIN kama hizi pole ya niniPole zake
Habari ni ya 2018, lakini Kama unavyojua bavicha huwa hawasomi kabisa post wao kazi yao ni kucomment tuKwani Mavunde bado ni Naibu Waziri???
Inapimwa wapi? Atoe dollar 100 (TZS 234,000)?Ni vizuri akawahi kupima covid hivi sasa kuliko kuja kupima akiwa amelala