Neema William
Senior Member
- Jan 3, 2012
- 171
- 76
Na Neema Kishebuka, Arumeru mashariki
Makazi Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi, amenusurika kupigwa na wananchi wa kata ya mbuguni baada ya kukutwa akifanya mkutano huku akiwa na gari la serikali.
K wa mujibu wa tarifa kutoka kwa wananchi wa Naibu waziri wa Ardhi Nyumba Maendeleo na kata ya Mbuguni wamesema kuwa waziri huyo mwenye dhamana alitiwa mbaloni na wananchi kwa kile walichodai kufanya kampeni akiwa na gari la serikali huku akiwa na raia mmoja wa Tanzania mwenye asili ya Kiasia ambaye ni mmiliki wa mashamba makubwa ya karangai sugar estate wilayani Arumeru.
wananchi hao wamesema kuwa walimtia mbaloni waziri huyo baada ya kukufika mbuguni kwa lengo la kuwaadaa wananchi huku akitumia gari la Wananchi hao wamesema kuwa mwekezaji huyo kwa kushirikiana na Ole medeye waliwaeleza wananchi kuwa wakichagua ccm yupo Radhi kuwaachia sehemu ya mashamba wananchi wa mbuguni. .
Wengine walioongozana na naibu waziri huyo ni Waziri huyo diwani wa kata ya Mbuguni , Thomas Molel maarufu kwa jina la Askofu pamoja na katibu wa ccm kata ya Mbuguni Samia Ndesauyo kaaya , pamoja na mjumbe wa kamati ya siasa ya kata ya Mbuguni Yahya Hassan, ambapo walipatwa na mkasa huo majira ya saa kumi na mbili jioni.
Hata Hivyo waziri huyo ambaye alikuwa katika gari lenye namba zilizoandika NW- AR likiwa na bendera ya Taifa ,na kundi lake walinusurika baada ya kukimbilia katika shule ya msingi Oldevesi, hadi polisi walipofika kumuokoa na kumuacha aende zake.
Hata Hivyo naibu waziri huyo alipoulizwa na waandishi wa habari ili kuweza kupata ukweli alitoa kauli tofauti ,ambapo mara ya kwanza alisema kuwa alikwenda huko kusuruhisha migogoro ya ardhi, wakati taarifa zinasema kuwa ni kweli waziri huyo siku hiyo alifika kusuruhisha mgogoro wa Ardhi katika kata ya mrangarini jimbo la Arumeru magharibi akiwa ameongozana na mkuu wa wilaya ya Arumeru mesi Sira na mkuu wa wilaya ya Arusha Raimond mushi pamoja na mkuu wa mkoa magesa Mulongo,
Hata Hivyo mshangao uliokuwepo ni kwamba eneo alilokwenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ni kilometa Nyingi kutoka mbunguni tena ni katika jimbo lingine ambapo alikuwa amevaa suti ya Kodrai rangi ya inayofanana na ugoro ama udongo.
Katika kauli ya pili alidai kuwa ni kweli alikuwa eneo hilo la tukio kutazama mashamba yeke, na alipokuwa huko taarifa zinasema kuwa alikuwa amevaa kanzu nyeupe, na baraghashia.
Na katika kauli yake ya tatu alidai kuwa alikuwa katika shughuli za kiserikali, kauli zote hizo amezitoa kwa waandishi wa habari waliompigia kupata ukweli wa jambo hilo .
Tukio kama hilo la kufanya kampeni kwa kutumia magari ya serikali yanayotumia Kodi za wananchi kwa viongozi wa kiserikali wakati wa chaguzi ndogo liliwahi kutokea katika kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga
Naibu katibu mkuu Zanziabar wa chadema , Hamad Yusuph Musa amesema kuwa wametoa taarifa kituo kidogo cha polisi cha mbunguni na kupewa Rb 81.2012 kwa kuwa kiongozi huyo anatumia gari na mafuta ya serikali kufanya kampeni.
Hata Hivyo katika kmpeni hizi chadema wanasema watafanya kameni za kistaarabu kwani wameanza na mungu watamaliza na Mungu.
Makazi Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi, amenusurika kupigwa na wananchi wa kata ya mbuguni baada ya kukutwa akifanya mkutano huku akiwa na gari la serikali.
K wa mujibu wa tarifa kutoka kwa wananchi wa Naibu waziri wa Ardhi Nyumba Maendeleo na kata ya Mbuguni wamesema kuwa waziri huyo mwenye dhamana alitiwa mbaloni na wananchi kwa kile walichodai kufanya kampeni akiwa na gari la serikali huku akiwa na raia mmoja wa Tanzania mwenye asili ya Kiasia ambaye ni mmiliki wa mashamba makubwa ya karangai sugar estate wilayani Arumeru.
wananchi hao wamesema kuwa walimtia mbaloni waziri huyo baada ya kukufika mbuguni kwa lengo la kuwaadaa wananchi huku akitumia gari la Wananchi hao wamesema kuwa mwekezaji huyo kwa kushirikiana na Ole medeye waliwaeleza wananchi kuwa wakichagua ccm yupo Radhi kuwaachia sehemu ya mashamba wananchi wa mbuguni. .
Wengine walioongozana na naibu waziri huyo ni Waziri huyo diwani wa kata ya Mbuguni , Thomas Molel maarufu kwa jina la Askofu pamoja na katibu wa ccm kata ya Mbuguni Samia Ndesauyo kaaya , pamoja na mjumbe wa kamati ya siasa ya kata ya Mbuguni Yahya Hassan, ambapo walipatwa na mkasa huo majira ya saa kumi na mbili jioni.
Hata Hivyo waziri huyo ambaye alikuwa katika gari lenye namba zilizoandika NW- AR likiwa na bendera ya Taifa ,na kundi lake walinusurika baada ya kukimbilia katika shule ya msingi Oldevesi, hadi polisi walipofika kumuokoa na kumuacha aende zake.
Hata Hivyo naibu waziri huyo alipoulizwa na waandishi wa habari ili kuweza kupata ukweli alitoa kauli tofauti ,ambapo mara ya kwanza alisema kuwa alikwenda huko kusuruhisha migogoro ya ardhi, wakati taarifa zinasema kuwa ni kweli waziri huyo siku hiyo alifika kusuruhisha mgogoro wa Ardhi katika kata ya mrangarini jimbo la Arumeru magharibi akiwa ameongozana na mkuu wa wilaya ya Arumeru mesi Sira na mkuu wa wilaya ya Arusha Raimond mushi pamoja na mkuu wa mkoa magesa Mulongo,
Hata Hivyo mshangao uliokuwepo ni kwamba eneo alilokwenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ni kilometa Nyingi kutoka mbunguni tena ni katika jimbo lingine ambapo alikuwa amevaa suti ya Kodrai rangi ya inayofanana na ugoro ama udongo.
Katika kauli ya pili alidai kuwa ni kweli alikuwa eneo hilo la tukio kutazama mashamba yeke, na alipokuwa huko taarifa zinasema kuwa alikuwa amevaa kanzu nyeupe, na baraghashia.
Na katika kauli yake ya tatu alidai kuwa alikuwa katika shughuli za kiserikali, kauli zote hizo amezitoa kwa waandishi wa habari waliompigia kupata ukweli wa jambo hilo .
Tukio kama hilo la kufanya kampeni kwa kutumia magari ya serikali yanayotumia Kodi za wananchi kwa viongozi wa kiserikali wakati wa chaguzi ndogo liliwahi kutokea katika kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga
Naibu katibu mkuu Zanziabar wa chadema , Hamad Yusuph Musa amesema kuwa wametoa taarifa kituo kidogo cha polisi cha mbunguni na kupewa Rb 81.2012 kwa kuwa kiongozi huyo anatumia gari na mafuta ya serikali kufanya kampeni.
Hata Hivyo katika kmpeni hizi chadema wanasema watafanya kameni za kistaarabu kwani wameanza na mungu watamaliza na Mungu.