Naibu waziri akimbizwa mbuguni

Neema William

Senior Member
Jan 3, 2012
171
76
Na Neema Kishebuka, Arumeru mashariki

Makazi Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi, amenusurika kupigwa na wananchi wa kata ya mbuguni baada ya kukutwa akifanya mkutano huku akiwa na gari la serikali.

K wa mujibu wa tarifa kutoka kwa wananchi wa Naibu waziri wa Ardhi Nyumba Maendeleo na kata ya Mbuguni … wamesema kuwa waziri huyo mwenye dhamana alitiwa mbaloni na wananchi kwa kile walichodai kufanya kampeni akiwa na gari la serikali huku akiwa na raia mmoja wa Tanzania mwenye asili ya Kiasia ambaye ni mmiliki wa mashamba makubwa ya karangai sugar estate wilayani Arumeru.
wananchi hao wamesema kuwa walimtia mbaloni waziri huyo baada ya kukufika mbuguni kwa lengo la kuwaadaa wananchi huku akitumia gari la Wananchi hao wamesema kuwa mwekezaji huyo kwa kushirikiana na Ole medeye waliwaeleza wananchi kuwa wakichagua ccm yupo Radhi kuwaachia sehemu ya mashamba wananchi wa mbuguni. .



Wengine walioongozana na naibu waziri huyo ni Waziri huyo diwani wa kata ya Mbuguni , Thomas Molel maarufu kwa jina la Askofu pamoja na katibu wa ccm kata ya Mbuguni Samia Ndesauyo kaaya , pamoja na mjumbe wa kamati ya siasa ya kata ya Mbuguni Yahya Hassan, ambapo walipatwa na mkasa huo majira ya saa kumi na mbili jioni.

Hata Hivyo waziri huyo ambaye alikuwa katika gari lenye namba zilizoandika NW- AR likiwa na bendera ya Taifa ,na kundi lake walinusurika baada ya kukimbilia katika shule ya msingi Oldevesi, hadi polisi walipofika kumuokoa na kumuacha aende zake.
Hata Hivyo naibu waziri huyo alipoulizwa na waandishi wa habari ili kuweza kupata ukweli alitoa kauli tofauti ,ambapo mara ya kwanza alisema kuwa alikwenda huko kusuruhisha migogoro ya ardhi, wakati taarifa zinasema kuwa ni kweli waziri huyo siku hiyo alifika kusuruhisha mgogoro wa Ardhi katika kata ya mrangarini jimbo la Arumeru magharibi akiwa ameongozana na mkuu wa wilaya ya Arumeru mesi Sira na mkuu wa wilaya ya Arusha Raimond mushi pamoja na mkuu wa mkoa magesa Mulongo,
Hata Hivyo mshangao uliokuwepo ni kwamba eneo alilokwenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ni kilometa Nyingi kutoka mbunguni tena ni katika jimbo lingine ambapo alikuwa amevaa suti ya Kodrai rangi ya inayofanana na ugoro ama udongo.
Katika kauli ya pili alidai kuwa ni kweli alikuwa eneo hilo la tukio kutazama mashamba yeke, na alipokuwa huko taarifa zinasema kuwa alikuwa amevaa kanzu nyeupe, na baraghashia.
Na katika kauli yake ya tatu alidai kuwa alikuwa katika shughuli za kiserikali, kauli zote hizo amezitoa kwa waandishi wa habari waliompigia kupata ukweli wa jambo hilo .
Tukio kama hilo la kufanya kampeni kwa kutumia magari ya serikali yanayotumia Kodi za wananchi kwa viongozi wa kiserikali wakati wa chaguzi ndogo liliwahi kutokea katika kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga

Naibu katibu mkuu Zanziabar wa chadema , Hamad Yusuph Musa amesema kuwa wametoa taarifa kituo kidogo cha polisi cha mbunguni na kupewa Rb 81.2012 kwa kuwa kiongozi huyo anatumia gari na mafuta ya serikali kufanya kampeni.

Hata Hivyo katika kmpeni hizi chadema wanasema watafanya kameni za kistaarabu kwani wameanza na mungu watamaliza na Mungu.
 
na Neema Kishebuka, Arumeru

Makazi Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi, amenusurika kupigwa na wananchi wa kata ya mbuguni baada ya kukutwa akifanya mkutano huku akiwa na gari la serikali.

K wa mujibu wa tarifa kutoka kwa wananchi wa Naibu waziri wa Ardhi Nyumba Maendeleo na kata ya Mbuguni … wamesema kuwa waziri huyo mwenye dhamana alitiwa mbaloni na wananchi kwa kile walichodai kufanya kampeni akiwa na gari la serikali huku akiwa na raia mmoja wa Tanzania mwenye asili ya Kiasia ambaye ni mmiliki wa mashamba makubwa ya karangai sugar estate wilayani Arumeru.
wananchi hao wamesema kuwa walimtia mbaloni waziri huyo baada ya kukufika mbuguni kwa lengo la kuwaadaa wananchi huku akitumia gari la Wananchi hao wamesema kuwa mwekezaji huyo kwa kushirikiana na Ole medeye waliwaeleza wananchi kuwa wakichagua ccm yupo Radhi kuwaachia sehemu ya mashamba wananchi wa mbuguni. .
Wengine walioongozana na naibu waziri huyo ni Waziri huyo diwani wa kata ya Mbuguni , Thomas Molel maarufu kwa jina la Askofu pamoja na katibu wa ccm kata ya Mbuguni Samia Ndesauyo kaaya , pamoja na mjumbe wa kamati ya siasa ya kata ya Mbuguni Yahya Hassan, ambapo walipatwa na mkasa huo majira ya saa kumi na mbili jioni.
Hata Hivyo waziri huyo ambaye alikuwa katika gari lenye namba zilizoandika NW- AR likiwa na bendera ya Taifa ,na kundi lake walinusurika baada ya kukimbilia katika shule ya msingi Oldevesi, hadi polisi walipofika kumuokoa na kumuacha aende zake.
Hata Hivyo naibu waziri huyo alipoulizwa na waandishi wa habari ili kuweza kupata ukweli alitoa kauli tofauti ,ambapo mara ya kwanza alisema kuwa alikwenda huko kusuruhisha migogoro ya ardhi, wakati taarifa zinasema kuwa ni kweli waziri huyo siku hiyo alifika kusuruhisha mgogoro wa Ardhi katika kata ya mrangarini jimbo la Arumeru magharibi akiwa ameongozana na mkuu wa wilaya ya Arumeru mesi Sira na mkuu wa wilaya ya Arusha Raimond mushi pamoja na mkuu wa mkoa magesa Mulongo,
Hata Hivyo mshangao uliokuwepo ni kwamba eneo alilokwenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ni kilometa Nyingi kutoka mbunguni tena ni katika jimbo lingine ambapo alikuwa amevaa suti ya Kodrai rangi ya inayofanana na ugoro ama udongo.
Katika kauli ya pili alidai kuwa ni kweli alikuwa eneo hilo la tukio kutazama mashamba yeke, na alipokuwa huko taarifa zinasema kuwa alikuwa amevaa kanzu nyeupe, na baraghashia.
Na katika kauli yake ya tatu alidai kuwa alikuwa katika shughuli za kiserikali, kauli zote hizo amezitoa kwa waandishi wa habari waliompigia kupata ukweli wa jambo hilo .
Tukio kama hilo la kufanya kampeni kwa kutumia magari ya serikali yanayotumia Kodi za wananchi kwa viongozi wa kiserikali wakati wa chaguzi ndogo liliwahi kutokea katika kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga kwa mkuu wa wilaya ya Igunga Bi Fatuma Kimario ambalo lilileta mtafaruku mkubwa.

.mwisho
 
Huyu waziri anaendelea kuidhalilisha serikali ya mkubwa wake JK!..Kosa hilo pekee linafaa kufukuzwa kazi!
 
Na
Neema Kishebuka, Arumeru mashariki

Makazi Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Arumeru
Magharibi, amenusurika kupigwa na wananchi wa kata ya mbuguni baada ya
kukutwa akifanya mkutano huku akiwa na gari la
serikali.

K wa mujibu wa tarifa kutoka kwa
wananchi wa
Naibu waziri wa Ardhi Nyumba Maendeleo na kata ya
Mbuguni … wamesema kuwa waziri huyo mwenye dhamana alitiwa mbaloni na
wananchi kwa kile walichodai kufanya kampeni akiwa na gari la serikali
huku akiwa na raia mmoja wa Tanzania mwenye asili ya Kiasia ambaye ni
mmiliki wa mashamba makubwa ya karangai sugar estate wilayani
Arumeru.

wananchi hao wamesema kuwa walimtia
mbaloni waziri huyo baada ya kukufika mbuguni kwa lengo la kuwaadaa
wananchi huku akitumia gari la Wananchi hao wamesema kuwa mwekezaji
huyo kwa kushirikiana na Ole medeye waliwaeleza wananchi kuwa
wakichagua ccm yupo Radhi kuwaachia sehemu ya mashamba wananchi wa
mbuguni. .


Wengine walioongozana na naibu waziri huyo ni Waziri huyo diwani wa
kata ya Mbuguni , Thomas Molel maarufu kwa jina la Askofu pamoja na
katibu wa ccm kata ya Mbuguni Samia Ndesauyo kaaya , pamoja na mjumbe
wa kamati ya siasa ya kata ya Mbuguni Yahya Hassan, ambapo walipatwa na
mkasa huo majira ya saa kumi na mbili jioni.

Hata Hivyo waziri huyo ambaye alikuwa
katika gari lenye namba zilizoandika NW- AR likiwa na bendera ya Taifa
,na kundi lake walinusurika baada ya kukimbilia katika shule ya msingi
Oldevesi, hadi polisi walipofika kumuokoa na kumuacha aende
zake.

Hata Hivyo naibu waziri huyo
alipoulizwa na waandishi wa habari ili kuweza kupata ukweli alitoa
kauli tofauti ,ambapo mara ya kwanza alisema kuwa alikwenda huko
kusuruhisha migogoro ya ardhi, wakati taarifa zinasema kuwa ni kweli
waziri huyo siku hiyo alifika kusuruhisha mgogoro wa Ardhi katika kata
ya mrangarini jimbo la Arumeru magharibi akiwa ameongozana na mkuu wa
wilaya ya Arumeru mesi Sira na mkuu wa wilaya ya Arusha Raimond mushi
pamoja na mkuu wa mkoa magesa Mulongo,

Hata Hivyo mshangao uliokuwepo ni
kwamba eneo alilokwenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ni kilometa Nyingi
kutoka mbunguni tena ni katika jimbo lingine ambapo alikuwa amevaa suti
ya Kodrai rangi ya inayofanana na ugoro ama udongo.

Katika kauli ya pili alidai kuwa ni
kweli alikuwa eneo hilo la tukio kutazama mashamba yeke, na alipokuwa
huko taarifa zinasema kuwa alikuwa amevaa kanzu nyeupe, na baraghashia.

Na katika kauli yake ya tatu alidai
kuwa alikuwa katika shughuli za kiserikali, kauli zote hizo amezitoa
kwa waandishi wa habari waliompigia kupata ukweli wa jambo hilo
.

Tukio kama hilo la kufanya kampeni kwa
kutumia magari ya serikali yanayotumia Kodi za wananchi kwa viongozi wa
kiserikali wakati wa chaguzi ndogo liliwahi kutokea katika kampeni za
uchaguzi mdogo jimbo la Igunga Naibu katibu mkuu Zanziabar wa chadema ,
Hamad Yusuph Musa amesema kuwa wametoa taarifa kituo kidogo cha polisi
cha mbunguni na kupewa Rb 81.2012 kwa kuwa kiongozi huyo anatumia gari
na mafuta ya serikali kufanya kampeni.
Hata Hivyo katika kmpeni hizi chadema wanasema watafanya kameni za
kistaarabu kwani wameanza na mungu watamaliza na
Mungu.

Janja ya nyani hiyo........
 
Ole Medeye ni aina ya wanasiasa wasiojua mipaka ya matumizi ya mali za umma,amepewa haki yake siku nyingine hatorudia tena kufanya kampeni na magari ya serekali.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ni furaha ilioje wananchi wakitambua haki zao, wajibu wao na nguvu walizonazo.
Tutafika tu, polepole
 
Huyu jamaa alikuwaga very bright haswa alipokuwa anafanya kazi TCRA ila baada ya kuingia kwenye siasa nadhani hata ubongo umeanza kuota kutu. Anafanya mambo ya kipuuzi ambayo no one would ever expect from him. Nways, lets see how it goes with him maana najua hatafanywa lolote! Birds of the same feathers do flock together by the way!
 
vyeo vya kupeana taabu sana hatuna mawazir tz wote walopo wanafanyakazi kinafiki tu. katiba mpya iondoe huu upuuzi wa vyeo vya kupeana kama njugu, sifa za kuwa kiongozi ziwe wazi si kama ilivyo sasa.mkijipendekeza kwa jk kesho anakuteua bila kujali uwezo wako.
 
Back
Top Bottom