PreGE2025 Naibu Spika Zungu: Tume ya sasa ni bora kuliko iliwapa wapinzani ushindi 2015

PreGE2025 Naibu Spika Zungu: Tume ya sasa ni bora kuliko iliwapa wapinzani ushindi 2015

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,230
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameviita vyama vya upinzani nchini Tanzania kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, akieleza kuwa hata mabadiliko wanayoyataka na kuyahimiza ya kisheria na kimfumo yatapatikana ndani ya bunge hilo na siyo barabarani.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Naibu Spika amebainisha hayo jioni ya Aprili 30, 2025 wakati akiishukuru Wizara ya Katiba na Sheria kwa hotuba ya Bajeti waliyoiwasilisha mapema asubuhi pamoja na hitimisho la mjadala wa hotuba hiyo walioufanya, akieleza kuwa kwasasa Tume ya Uchaguzi ni bora zaidi kuliko ile ambayo ilifanikisha Bunge kuwa na wabunge wa Vyama pinzani takribani 112 kutoka vyama

 
1746052006528.jpg
 
Kama mmeanza hata kutaka muwaua viongozi wa dini kwa sababu tuwanataka mtende haki, itakuwaje kwa wagombea wa upinzani watakaposimama majukwaani kuyaanika maovu yenu?

kwa sasa, adui mkubwa wa watanzania ni CCM. CCM imekuwa ni hatari kwa kila jambo lililo jema.
 
Back
Top Bottom