Naibu Spika naye yupo kwenye adhabu?

mcfm40

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,452
3,151
Tangu wabunge wa upinzani waanze kumsusia vikao anavyoviongoza, naye amelazimika kuongoza vikao vingi vya bunge ili kuwakomoa upinzani. Je wanamshauri kufanya hivi hawaoni wanafamfanya naye awe kama yupo kwenye adhabu?

Bunge lina wenyeviti watatu lakini tangu wabunge wa upinzani wasuse imebidi wakae pembeni na kumwachia naibu spika peke yake aongeze vikao peke yake bila kupumzika kama ilivyokuwa kawaida.

Kipindi hiki ambapo spika hayupo naibu spika ndiye anakuwa na majukumu ya kufanya mambo mengi ndani na nje ya bunge. Lakini sasa imembidi naibu spika kukaa bungeni muda wote ili kuwakomoa UKAWA huku shughuli nyingine za kiofisi zikidorora!

Hivyo namwona NS naye kama yupo kwenye adhabu ambapo anashindwa kufanya shughuli zake katika mtiririko wa kawaida wa siku zote!

UKAWA endeleeni kukaza mpaka aombe poo!
 
Tangu wabunge wa upinzani waanze kumsusia vikao anavyoviongoza, naye amelazimika kuongoza vikao vingi vya bunge ili kuwakomoa upinzani. Je wanamshauri kufanya hivi hawaoni wanafamfanya naye awe kama yupo kwenye adhabu?

Bunge lina wenyeviti watatu lakini tangu wabunge wa upinzani wasuse imebidi wakae pembeni na kumwachia naibu spika peke yake aongeze vikao peke yake bila kupumzika km ilivyokuws kawaida.

Kipindi hiki ambapo spika hayupo nsibu spika ndiye anakuwa na majukumu ya kufanya mambo mengi ndani na nje ya bunge. Lakini sasa imembidi naibu spika kukaa bungeni muda wote ili kuwakomoa ukawa huku shughuli nyingine za kiofisi zikidorora!

Hivyo namwona NS naye km yupo kwenye adhabu ambapo anashindwa kufanya shughuli zake katika mtiririko wa kawaida wa siku zote!

Ukawa endeleeni kukaza mpaka aombe poo!
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.
 
Tangu wabunge wa upinzani waanze kumsusia vikao anavyoviongoza, naye amelazimika kuongoza vikao vingi vya bunge ili kuwakomoa upinzani. Je wanamshauri kufanya hivi hawaoni wanafamfanya naye awe kama yupo kwenye adhabu?

Bunge lina wenyeviti watatu lakini tangu wabunge wa upinzani wasuse imebidi wakae pembeni na kumwachia naibu spika peke yake aongeze vikao peke yake bila kupumzika km ilivyokuws kawaida.

Kipindi hiki ambapo spika hayupo nsibu spika ndiye anakuwa na majukumu ya kufanya mambo mengi ndani na nje ya bunge. Lakini sasa imembidi naibu spika kukaa bungeni muda wote ili kuwakomoa ukawa huku shughuli nyingine za kiofisi zikidorora!

Hivyo namwona NS naye km yupo kwenye adhabu ambapo anashindwa kufanya shughuli zake katika mtiririko wa kawaida wa siku zote!

Ukawa endeleeni kukaza mpaka aombe poo!
Tulia hajatulia
 
Wabadilishe mbinu, waingie tu bungeni wapate posho. Sheria ni msumeno, itawakata hata akina Ndugai walio nje ya bunge
 
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.


Anapokea Milion 11 kwa mwezi, anapata pesa ya mfuko wa jimbo, anamikopo bank kibao, unadhan atahangaika na hiyo laki tatu kwa siku? labda wakate chanel zao zote za pesa hapo watawakomoa but kwa laki tatu ni sawa na nothing
 
Kuna wabunge wa ccm huwa wamo bungeni kila siku lakini ni full Mabubu hawaongei kitu, ni Kama hawapo Bungeni vile, Yaani kazi yao ni kugonga meza na kusema ndiyoooo kwa maneno ya kijinga jinga Kama ya Agnes marwa au ile ya Mwakyembe kumtukana Sugu kumwita msaanii toka mbeya badala ya kuanza na neno Mheshimiwa huku akijisifu kasoma ana PhD , wabunge wa hivyo wanalipwa posho kwa kazi gani? Kazi ipi wamefanya humo bungeni? Ni wategeaji hao hakuna kazi wanafanya kabsa, Wabunge hawana Aibu kumshangilia Mwakyembe kisa kajisifu kuwa ni Msomi mwenye PhD lakini hawajui kuwa PhD feki ya Mwakyembe imenunua mabehewa Feki.
 
Back
Top Bottom