Daniel Muhina
Member
- Jun 16, 2012
- 38
- 12
Ndugu wana jamvi,
Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaongozwa kwa kanuni na sheria! leo baada ya Mh Mnyika kutamka kile alichotamka, na kutakiwa kufuta kauli na yeye kugoma kufuta kauli yake hali iliyopelekea Naibu spika kumtoa nje.
kwa kuwa JF ni uwanja wa wasomi wa kada mbali wakiwemo wanasheria, naomba nipate michango na ushauri toka kwa wanazuoni wote juu ya nini kifanyike baada ya hapo, maana baada tu ya Mnyika kutolewa nje watu wa kada mbali mbali wameanza kuporomosha kashfa na matusi kwa Naibu spika na viongozi wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine akiwemo Mh Lukuvi. Je kuna kosa gani la kikanuni limefanywa na Mnyika na kuna kosa gani la kikanuni limefanywa na Naibu Spika Ndugai?
Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaongozwa kwa kanuni na sheria! leo baada ya Mh Mnyika kutamka kile alichotamka, na kutakiwa kufuta kauli na yeye kugoma kufuta kauli yake hali iliyopelekea Naibu spika kumtoa nje.
kwa kuwa JF ni uwanja wa wasomi wa kada mbali wakiwemo wanasheria, naomba nipate michango na ushauri toka kwa wanazuoni wote juu ya nini kifanyike baada ya hapo, maana baada tu ya Mnyika kutolewa nje watu wa kada mbali mbali wameanza kuporomosha kashfa na matusi kwa Naibu spika na viongozi wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine akiwemo Mh Lukuvi. Je kuna kosa gani la kikanuni limefanywa na Mnyika na kuna kosa gani la kikanuni limefanywa na Naibu Spika Ndugai?