Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

Hiyo vita yao imekuwa too personal. Kwa akili ya kawaida wanatarajia Ndugai afanye tofauti?
Hawaoni kila CCM wakitaka kufanya ya kwao, Tulia ndiyo ataongoza5kikao ili jamaa watoke? Hilo hamulioni bado?
Kuna njia za kukabiliana na Tulia ndani ya Bunge. Wapinzani waanze kupigania kanuni mpya za kuendesha Bunge. Kwa hizi zilizopo ni hadi kiama.

Kwa ugonjwa huu wa kukomoana (tuliasis), hata kubadilisha kanuni za bunge ni ngumu Mkuu. Wenye mamlaka ya kuridhia hilo litekelezwe ni ccm. Hata ktk hatua ya marekebisho ya kanuni zenyewe ccm ni wengi, hivyo watalinda maslahi yao.
 
Ukawa kama watoto. Inabidi akili icheze kidogo kuwaelewa jamaa wa ukawa
 
Katika maisha kuna wakat wa kucheka, kulia, kuuzunika, Sasa kama CCM hamjatambua hizi hatua Katika maisha ipo siku mtajua tu.
 
Ngoja niwafundishe ujanja enyi ukawa,rudini bungeni japo mmechelewa,na mkiwa humo acheni jaziba,ongeeni kiungwana tu ,tena kwa upole,kama huyo naibu spika anawakandamiza wananchi wenyewe wataona na mtagain sympathy kwa kiwango cha hatari kuliko hivi mnavyofanya mnaonekana wakorofi fulani na mtaungwa mkono na masela wachache tu
Huo ushauri kawape wabunge wenu wa CCM
 
Kwahiyo wananchi tusitemee kusikia ya Escrow, Richmond, ufisadi na aina zozote za maovu ya Tanzania.

Hapo tutegemee ndioooooooo, Hongera mkuu, Tanzania uchumi unapanda, Tumesambaza Umeme Nchi nzima,

Kwasababu Wapinzani walikuwepo mle ndani na kila wakiikosoa Serikali wanaitwa kuhojiwa na kamati za Bunge na kufungiwa sasa kunahaja gani ya kuwa ndani ya Bunge na kukaa kimya?

Wakiwakilisha hoja Mezani wanazuiliwa kuzisoma, mfano ya Lema siwaliikataa?

Kiufupi Serikali hii inataka kusifiwa tu basi, mabaya hayatakiwi kuwekwa wazi,

Haya Lugumi na UDA zikowapi?
Mungu ibariki Tanzania.
 
WEWE NDIO UNAUDHI KWA KUTETEA UZEMBE WA UKAWA. SI WARUDI TU DODOMA WAENDE NYUMBANI KWAO MAANA WANAPOTEZA MUDA WA KUJADILI MAMBO YA MSINGI. NAIBU SPIKA CHAPA KAZI. USIYUMBE HATA KIDOGO!!
Hivi unajua hata maana ya kujadili? Kinachofanyika bungeni ni kupewa taarifa madhalani mwaka wa fedha 2016/2017 serikali imepanga kufanyanini na budget yake. Kama bunge lingekuwa linajadili si tu mambo ya msingi hata yasingekuwa ya msingi wabunge wa upinzani wasingetoka bungeni na wangine wasingesimamishwa kuingia bungeni. 1 kati ya nguzo za majadiliano ni Maoni ya wajumbe ya yasikilizwe na kuheshimiwa no matter.... . Kwa sababu kwenye majadilino ilikujua kama maoni haya ni point au sio point lazima kufikia makubaliano ya pamoja. Ishitoshe lazima ujue kwenye majadiliano point manake nini? Mkuu bunge sio mchezo wa volleyball!
 
Katika moja ya maamuzi ya upinzani walichemka ni hili la kutoka nje na kumuachia uwanja NS na wabunge wa CCM kutuamulia mambo watakavyo including budget ya nchi. Kwa nini msibakie ndani na kupambana kwa hoja na kuonyesha upungufu wa NS. Saa nyingine nawaza au mnacheza deal na CCM kufanya mambo ya kutolewa bungeni ili watupitishie mambo mabovu bila kipingamizi toka kwenu????
Wabunge wa UKAWA wako vizuri kiakili na kiuwezo kuliko wewe, na kwa taarifa yako kiuwiano wengi wao ndo wamerdi Bungeni kuliko wabunge wa CCM
 
Hali ya kutafuta maridhiano imezidi kwenda kombo, baada ya asubuhi hii NS kuwakemea wabunge wa upinzani watoke haraka bungeni kwa kuwa wanapoteza muda.

Namnukuu " Tokeni haraka mnapoteza muda wetu"

Hekima na busara iko wapi?

Katiba ilivyotamka kuwa mkuu wa nchi ni kuanzia miaka 40, ingeaply hata na kwenye nafasi nyeti kama Spika/ N Spika.

Inakuaje wawakilishi wa wananchi waliohangaika kuchaguliwa majimboni kukemewa na mtu aliyeteuliwa tu.

Inaudhi.
Sasa waliingia kufanya nini kama walijua watatoka? Wanapoteza muda si warudi majimboni kwao, watu wazima hovyo. Nasikitikia kura yangu
 
Daudi, kwa sisi watu wazima tunafahamu mwenza anapokuwa katika ile hali ya uhitaji halafu uko safarini au unegoma kutoa ushirikiano basi chuki na hasira zinaangukia kwa watoto.
Akipita huyu kibao, yule atapata tusi na mwingine kafanya hiki ataambiwa nilisema ufanye vile.
Kuna haja ya kuchunguza mahusiano yake katika yale mambo yakoje.
Unadhani ule msemo "wanawake wakiwezeshwa wanaweza" unamaanisha kuwezeshwa nini?
Mambo mengine yanataka fikra za kikubwa kuyatatua.

Teh teh teheee. Umeingea jambo la msingi pia inawekana kwa minajili hiyo ankuwa mara nyingi yupo busy kusoma vifungu vya sheria ili kuwa dhibiti wapinzani sasa ankuwa anajinyima muda waku relax.
Si unajua hata ukiwa umeajiriwa sehemu mpya unafanya kazi kwa munkari ndio kinachomtokea dada yetu.
Sasa ubusy ukichanganya na stress za wabunge waupinzani lazima Utapanic.

Kama hujagawa muda vizuri ukawa busy bungeni mpaka ukasahau familia inakuwa shida.

Hivyo inahitaji muda wa kutosha kupumzika.
 
Wabunge wa UKAWA wako vizuri kiakili na kiuwezo kuliko wewe, na kwa taarifa yako kiuwiano wengi wao ndo wamerdi Bungeni kuliko wabunge wa CCM
Acha kupumbaa wewe, kubisha bisha kila jambo kishabiki, ni upuuzi.
 
Tukubali tu kwamba CHADEMA tuliyoijua sisi kabla ya Julai 2015, sio hii ya sasa. Ya zamani ilikuwa na hoja nzuri zinazovutia kila mtu, lakini hii ya sasa chini ya mamluki wa CCM inapwaya kwa kila jambo. Uwingi sio hoja.
 
Maridhiano hufanyika iwapo kunakukoseana. Naibu spika hajamkosea mtu aridhiane na nani?
Kama chadema wanakiri kumkosea adabu NS kwa haya wayafanyayo sawa. Kama hivyo ndivyo watoke hadharani wawaombe wananchi msamaha warudi bungeni wachape kazi.
Wasione aibu kufuta msimamo wao waliouamua bila kutafakari. Bora wangeupa muda wa kutekeleza huo ujinga wao.
Waendelee hivyo hivyo wasirudi nyuma, tulio wachagua tuna imani na wanachokifanya, kukubaliana na ukandamizaji Bungeni ni sawa na kutusaliti sisi tuliowachagua kutuwakilisha, absence yao imedhihirisha wazi kwa Bunge kupwaya, wamepitisha hotuba ya waziri wa fedha badala ya kuijadili budget, waendelee na msimamo huo....
 
Back
Top Bottom