Nahitaji watu wanaotunza wanyama

Nahitaji watu wanaotunza wanyama

mnang'umba

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
471
Reaction score
150
Habari wana jamii,

Naomba anaewajua jamaa wanaohusika na kutunza wanyama. Wanakipindi Azam two kila Jumatano. Nipeni namba zao. Kuna Mbwa amegongwa na gari kavunjika miguu yote ya nyuma. Yupo Kongowe standy kupitia Mbagala.

0718116223

20180310_085221.jpg
 
Haraka mpeleke Vet Clinic yoyote iliyo karibu na hapo.Chukua tahadhari asikudhuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom