Nahitaji wa fadhir wa mirad

Nahitaji wa fadhir wa mirad

Chimunu

Senior Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
159
Reaction score
25
Habar wana jamii forum mm ni kijana wa kitanzania ninahitaji msaada wa namna gani ninaweza kupata mfadhir au wafadhir wa miradi (project) kutoka ndani au nje ya nchi kwa yeyote anaefaham namna ya kupata wafadhir anielekeze maana nina project tatu ambazo zikipata ufadhir zinaweza kutoa fursa ya kuajil baadhi ya wwatanzania karibun kwa msaada
 

mfadhir - kindengereko
mfadhili - kiswahili

Kwanza kabisa inabidi uwe na uandishi mzuri ili wafadhili waelewe proposal yako. anza na hilo
then tembelea ofisi za hao unaotaka wawe wafadhili, epuka kutuma emails wala calls
 
Kuna Uzi umeanzisha Jukwaa la Ujasiriamali kama huu nimekujibu au sio wewe?
 
Kwa namna ulivyyomba huo ufadhili ni ngumu sana kueleweka kwani maelezo yamejibana sana pili ufadhili utatolewa baada ya kuona mwanzo fulani wa jambo lenyewe na hasa kukidhi vigezo vya kisheria kwa maana ya usajili wa biashara, utambulisho wa biashara mfano TFDA, TBS, BRELLA na kadhalika. Sasa ukiibuka kutokea hewani ndugu yangu sikukatishi tamaa lakini kimsingi unajikwamisha mwenyewe maelezo mafupi sana huwezi kuonekana kuwa serious hujataja umefanikiwa mpaka wapi umekwama kivipi na unategemea kurudisha vipi. Sio lazima utaje moja kwa moja lakini angalau mtu ajue kwa jumla jumla umefikia wapi na pili unategemea kuweka nini wewe mwenyewe na kuna guanrantee ya aina gani au bima gani ya kubeba biashara yako.

Kuomnba ufadhili kunahitaji weredi katika kupangilia hoja na kuziwakilisha ili ueleweke.
 
Back
Top Bottom