nakushauri umpigie huyu Ndugu mwenye namba hii 0762 008 327 yeye ni mtengenezaji mkuu wa hiyo kitu na huwa anashiriki maonesho mbalimbali ya bidhaa zake, hata muda huu yuko Mwanza kwenye maonesho ya Africa Mashariki anaishi Ukerewe mkoa wa Mwanza anaitwa Pascal. Mpigie atakusaidia. Yeye anakuwa supported na SIDO