Nahitaji viroba vya kuhifadhia nafaka

Nahitaji viroba vya kuhifadhia nafaka

MJIMPYA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
506
Reaction score
273
Msaada wadau,

Natafuta magunia (viloba) kwa ajili ya kuwekea mazao. Hasa yale ya 100kg kwa bei ya jumla.

Mwenye kujua bei. Navitaka hapa kwetu Sumbawanga.

Asanteni.

Tuma Meseji 0620 484 081 kama unavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom