hs billionaire
Member
- Apr 27, 2022
- 44
- 51
Habari wadau, nipo Singida nina uhitaji wa idadi hiyo ya vifaranga vya chotara hasa hasa sasso, wenye umri wa siku moja . Kwa wazalishaji na wauzaji nahitaji
Na wasilisha.
N.B 1. kipaumbele watapewa wa mkoa wa Singida na Dodoma
2.ukiwa nao kuanzia 300 pia itafaa
Na wasilisha.
N.B 1. kipaumbele watapewa wa mkoa wa Singida na Dodoma
2.ukiwa nao kuanzia 300 pia itafaa