Kwa hiyo hadi hadi course hujui ila unajua sehemu za kufanyia kazi. Be serious basi. Mwisho wa siku utakuja kuuliza chuo gani nikasema.
1. Unatakiwa ufanye research kujua chuo husika.
2. Course zinazotelewa (hapa utaangalia na curriculum) ili ujue ukimaliza unakuwa nani.
3. Mengine utatuletea mrejesho hapa.
Sent using
Jamii Forums mobile app