Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,380
- 5,503
...
Nataka kujua ni course gani kwaajili ya hivyo vitu hapo
Kwa hiyo hadi hadi course hujui ila unajua sehemu za kufanyia kazi. Be serious basi. Mwisho wa siku utakuja kuuliza chuo gani nikasema.
1. Unatakiwa ufanye research kujua chuo husika.
2. Course zinazotelewa (hapa utaangalia na curriculum) ili ujue ukimaliza unakuwa nani.
3. Mengine utatuletea mrejesho hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nmefaulu lakini kwa masomo ya artsUlifaulu mkuu? Kama jibu ni ndio, kwanini usienda advance?
Au kama upo desperate sana, ufaulu wako ukituhusu,pitia diploma za hayo mambo.
Dah nashukuru sana kwa hikiIT ndio ina hivi vitu.
Kwahiyo we tafuta chuo kinachofundisha IT or ICT.
Ndio nmefaulu lakini kwa masomo ya arts