JakaRoho
Member
- Jun 7, 2013
- 40
- 6
Hellow wadau
Mwisho wa Mwezi huu nahitaji kununua Samsung HD Flat Screen 21" au 22" lakini kutokana na kahela kangu toka kwa bosi wangu "Kanyibay" sitokuwa na uwezo wa kununua MPYA,hivyo nalazimika kutafuata hata MTUMBA,Hivyo kama kuna mtu anayo tunaweza kuwasiliana.Ninaweza kununua kwa bei isiyozidi 280,000/= pesa za kitanzania.
Shukrani
Mwisho wa Mwezi huu nahitaji kununua Samsung HD Flat Screen 21" au 22" lakini kutokana na kahela kangu toka kwa bosi wangu "Kanyibay" sitokuwa na uwezo wa kununua MPYA,hivyo nalazimika kutafuata hata MTUMBA,Hivyo kama kuna mtu anayo tunaweza kuwasiliana.Ninaweza kununua kwa bei isiyozidi 280,000/= pesa za kitanzania.
Shukrani