Nahitaji uchawi wa kuwaroga wazungu

Nahitaji uchawi wa kuwaroga wazungu

wakuu dunia imechanganya nikama imekata break kwenye mteremko , hata huku ughaibuni tulipo mambo ni patashika, mguu washingo mguu wa roho, kazi nazo zimekuwa gombania goli. Kazi kama kubeba boxi, usafi na delivery ambazo ndizo mkombozi wetu wageni tulio wengi kwa sasa nazo zimevamiwa na wazawa kwa kasi kubwa, maana sasahiv si ajabu kuwakuta wazawa hapa sweden wakikimbizana na mabox, madekio na delivery kwa wingi wa ajabu kuliko ilivyokuwa hapo awali jambo linalosababisha watu kupunguzwa makazini hovyohovyo pasipo mpango.

Hivyo mimi kama mbongo lendi asili, JITU mwitu msitu nimeona nibadili silaha yangu katika vita hii yakusaka maokoto, na rasmi natangaza kuigeukia njia ya ulozi, uchawi na ushirikina kama silaha yangu ya mwisho na kama mpaka ulozi utadunda basi nitarudi bongoland kiroho safi.

Nimekuwa nikisikia kuwa wazungu hawarogeki, Je hili lina ukweli?? Na kama wanarogeka ni njia gani za KUWAROGA kirahisi? maana mpaka hapo navyoandika uzi huu tayari nimeshalitia Shangazi lakiswidi mikononi mwangu, ila nahitaji niliongeze na dozi ya Ulozi juu ili niliongoze kama remote sababu madem waswidi sio rahisi kutoa maokoto, na nikimaliza kuliroga hili nataka nimroge na mtoto wake mkubwa ili asiniletee miyeyusho kwenye harakati zangu za kuchuma vibunda, kabla sijaamia kwa bosi wake na mdogo wake, kwa kifupi nataka cycle yake nzima niipige pigo kuu la kilozi ili nitawale himaya yake yote kama chifu lumanyika.

View attachment 2852996
Ww hata haupo kwa wazungu alaf kwa akili yako unatarajia kutoka kimaisha kwa uchawi alooo unasafari ndefu..... Hebu tafuta kwanza cha kudfanya ili hatabunapologa basi unajua unafanya nn sio unaloga ili upate kazi ni ujinga ni sawa na mtu aloge ili awe mtumwa...... Kwa akili ulionayo hatabupewe kazi nzuri bado hutaendelea maana akili yako umewekeza kwenye ujinga.

Ukiona mtu anatafuta mchawi au mganga ili afanikiwe huku akiwa hana kitu cha maana cha kufanya jua kwamba kakshapotea kwenye reli ya maisha
 
Ki Svenska nakiongea vizuri sana mkuu, in fact ukitaka upate mademu wakiswid usilete ujanja wakuongea kiswidi sana watajua we mjanja, dem mzungu anataka mtu fala so najitaidi kuonekana bwege na mbumbumbu kadri ya uwezo wangu.
Dah umedanganywa sana.Fanya bidii ya kusoma kama umri unaruhusu wacha fantasies za kitoto.Unafikiria kuwapata "tjejer" wa kiswidish ndio ujanja kwa kujifanya bwege?
 
Dah umedanganywa sana.Fanya bidii ya kusoma kama umri unaruhusu wacha fantasies za kitoto.Unafikiria kuwapata "tjejer" wa kiswidish ndio ujanja kwa kujifanya bwege?
I pity you mzee wangu, what an envy comment [emoji41], shule nimeitandika vizuri tu, na dunia naifahamu zaidi ya matako yangu, usidanganywe na jina la king mwehu ndama
 
Ww hata haupo kwa wazungu alaf kwa akili yako unatarajia kutoka kimaisha kwa uchawi alooo unasafari ndefu..... Hebu tafuta kwanza cha kudfanya ili hatabunapologa basi unajua unafanya nn sio unaloga ili upate kazi ni ujinga ni sawa na mtu aloge ili awe mtumwa...... Kwa akili ulionayo hatabupewe kazi nzuri bado hutaendelea maana akili yako umewekeza kwenye ujinga.

Ukiona mtu anatafuta mchawi au mganga ili afanikiwe huku akiwa hana kitu cha maana cha kufanya jua kwamba kakshapotea kwenye reli ya maisha
[emoji16][emoji16], happy boxing day , sibishani na mbumbumbu
 
I pity you mzee wangu, what an envy comment
emoji41.png
, shule nimeitandika vizuri tu, na dunia naifahamu zaidi ya matako yangu, usidanganywe na jina la king mwehu ndama
Jag tycker synd om dig.Ordet jag letar efter är empati. Planera din framtid och sluta med barnsliga påstående om avundsjuk.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahyo unataka tukuamini kwa hako ka video au nikujibu kupitia hiyo video yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Calm down kiddo, enjoy life hacha stress[emoji41]!
 
Jag tycker synd om dig.Ordet jag letar efter är empati. Planera din framtid och sluta med barnsliga påstående om avundsjuk.
Hii hikufanyi kuwa special mzee, nguruwe ni nguruwe tu, hata avalishwe tuxedo, it's pathetic seeing someone bcome emotionally attached to a thread, really [emoji28]!! ditt skrivande är så dumt!
 
Basi kuna njaa ya kazi huko, yaani hata Uber eat au Deliveroo hakuna
Basi hata mini cabs
Ukishindwa kata border njoo huku changanyikeni kuna kazi za kumwaga hata tatu unafanya
Mbona wengi wanaingia hapa 🇬🇧 toka Finland, Sweden, Denmark na sehemu zingine
Naona wewe unacheza na mda tu kama hupati hata 10m kwa mwezi basi kimbia
 
Basi kuna njaa ya kazi huko, yaani hata Uber eat au Deliveroo hakuna
Basi hata mini cabs
Ukishindwa kata border njoo huku changanyikeni kuna kazi za kumwaga hata tatu unafanya
Mbona wengi wanaingia hapa 🇬🇧 toka Finland, Sweden, Denmark na sehemu zingine
Naona wewe unacheza na mda tu kama hupati hata 10m kwa mwezi basi kimbia
Sweden ukiwa mbabaishaji kwa kukosa elimu utapigania kazi za mkono uende kinywani.Na kwa sababu ya Tidöavtalet wamebadilisha sheria kwa wasio na kibali cha ukazi(arbetsinvandring) unatakiwa uwe na kazi yenye mshahara usiopungua kronor 27,000.
Sasa waajiri wengi wameacha kuajiri wageni kwa kushindwa kulipa huo mshahara.Kabla ya mabadiliko hayo kima cha wageni hao kilikuw kronor 13000 kwa unskilled labour.
 
Sweden ukiwa mbabaishaji kwa kukosa elimu utapigania kazi za mkono uende kinywani.Na kwa sababu ya Tidöavtalet wamebadilisha sheria kwa wasio na kibali cha ukazi(arbetsinvandring) unatakiwa uwe na kazi yenye mshahara usiopungua kronor 27,000.
Sasa waajiri wengi wameacha kuajiri wageni kwa kushindwa kulipa huo mshahara.Kabla ya mabadiliko hayo kima cha wageni hao kilikuw kronor 13000 kwa unskilled labour.
Aisee sasa hiyo 27 ni kama £2000
Hapo baada ya tax ama
Ndio maana wanakuja sana 🇬🇧 waafrika
 
Aisee sasa hiyo 27 ni kama £2000
Hapo baada ya tax ama
Ndio maana wanakuja sana 🇬🇧 waafrika
Sababu kubwa ni hali ya kisiasa kubadilika na kuwabana wageni.Serikali inayoongoza Sweden sasa hivi kwa kuungwa mkono na Sverige Democtrats ni ya mlengo wa kibaguzi hivyo wageni wasiokuwa na uraia wana wakati mgumu sana.Ndio sababu kubwa wengi kukimbilia Uingereza.
 
Sababu kubwa ni hali ya kisiasa kubadilika na kuwabana wageni.Serikali inayoongoza Sweden sasa hivi kwa kuungwa mkono na Sverige Democtrats ni ya mlengo wa kibaguzi hivyo wageni wasiokuwa na uraia wana wakati mgumu sana.Ndio sababu kubwa wengi kukimbilia Uingereza.
Na wa Swedish ndio wanafurahia ubaguzi huo
Kuna wazungu wabaya mpaka sasa
 
Na wa Swedish ndio wanafurahia ubaguzi huo
Kuna wazungu wabaya mpaka sasa
Ubaguzi hauwezi kuisha kwa sababu ya tabia za wazungu kujiona wana hadhi ya juu kuliko jamii zingine na wanahaki ya kipekee kuliko jamii zingine.Colonial mentality imewaathiri sana wazungu wengi na kudhani kwamba wao ni superior race.
Na bahati mbaya wakija Afrika wanapewa priority kwenye mambo mengi ingawa waafrika wengi wameanza kuamka na kujua ukweli.
 
Back
Top Bottom