Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Na wewe umeonyesha desire ya hela sasa una tofauti gani na hao wengine?
huyu hana tpfauti na akina fulani?
Na wewe umeonyesha desire ya hela sasa una tofauti gani na hao wengine?
why only ccm ndo panifae kwani vyama vingine they dont take hiyo salary? mbona wameongezeana kimya kimya cjackia yoyote toka out of ccm akilalamika tumepewa hela nyingi???? thats why kama umesoma post yangu ukaelewa sitaki kupitia kwenye chama coz vyama vyote ni wanafiki tuu maslahi ya chama ndo wametanguliza mbele
je wewe ni jinsia gani?
kama ni mwanaume wasiliana na makanda wa m4c wakucheki kama si gamba.
ila kama ni wa kike jaribu kutembelea makao makuu ya ccm pale lumumba cheka na kila mtu na watakachokuomba kama hakipungui wape tu,hiyo itakusaidia kupata viti maalum.