Nahitaji tray 200 za mayai kesho

Nahitaji tray 200 za mayai kesho

Joined
Oct 18, 2017
Posts
25
Reaction score
11
Habari wanajukwaa

nahitaj tray 200 za mayai ya kuku wa kisasa kesho.
kama unayo tafadhali ni pm tufanye biashara

nimepata mteja ila stock yangu haijaweza kukidhi mahitaji yake.
Nahitaj mfugaji muaminifu tusaidiane kutoa huduma hii.
Natanguliza shukrani
 
Unanunua tray bei gani?
Uko mkoa gan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom