Nahitaji tecno h6

Nahitaji tecno h6

Cicinho

Senior Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
165
Reaction score
13
Habari wapendwa nahitaji tecno h6 offer yng ni 110,000,aliyenayo antafute kwa 0717 340502
 
Kwa hiyo hela huwezi kupata pale kariakoo zinaanzia 230,000 mpaka 195,000 bei ya mwisho, sasa ndugu 110,000 imekuwa Huawei y330?!



Pili sikushauri sana kununua hiyo simu ya tecno h6 sababu zina tatizo la kupata joto sana "over heating"

Nakushauri bora hata ujichange uchukue tecno boom j7, at least unaweza kuifurahia!
 
Back
Top Bottom