Nahitaji tani 500 za pilipili

Ah!! Michongo mingine hii unajua kabisa ina lengo la kukwamishana ili kesho mtuambie "tunawapa mishe lakini hamzichangamkii"!! Yaani Kilo 500,000 za Pilipili?!
 
Hiyo angetoa bei kwa kilo, kama inalipa atoe miezi mitatu alimiwe...
Kwa hapa Nyumbani hatuna large scale ya kilimo cha pilipii ya kuweza kupata Tani 500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…