Nahitaji Software ya Kuandika na Ku-Print Cheques

Nahitaji Software ya Kuandika na Ku-Print Cheques

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,915
Reaction score
30,027
Wakuu Kwema?

Habari za Weekend?

Ninahitaji Software ya Kuandika na Ku-Print Hundi (Cheques). Nimejaribu ku design from MS Excel na MS Word lakin naona kama haitotoka kama navyotaka. Ningepata ambayo naweza kuiunga (Integrate) kwenye mfumo wa malipo (Payment Voucher) ingekua vizuri zaidi.

Google pia nimeziona ila ziko complicated kidogo, mi nahitaji Simple tu.
 
A cheque from scratch au app inayo autofilll the blanks
 
Hundi za Benki au za biashara yako?
hapo kwenye. Integration sidhani kama utapata software kirahisi ambayo sio custom
 
Hundi za Benki au za biashara yako?
hapo kwenye. Integration sidhani kama utapata software kirahisi ambayo sio custom
Kivip Mkuu?
Hundi ni ya Benki always, but inayohusu Biashara yangu, so vyote viwili ni sawa
 
sasa jinsi unavyotaka wewe iwe ingekuwa vizyr tujui ili tukusaidie mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi najaza details, kisha naweka cheque kwa Printer,
Ni rahis kujaza tu details na ku draft template lakin sasa software ingefaa zaidi,
Mfano Nikiweka tu amount in figures yenyewe iwe inatoa amount in word bila mimi kuhitajika kuandika tena,
 
Mimi najaza details, kisha naweka cheque kwa Printer,
Ni rahis kujaza tu details na ku draft template lakin sasa software ingefaa zaidi,
Mfano Nikiweka tu amount in figures yenyewe iwe inatoa amount in word bila mimi kuhitajika kuandika tena,
hapo nimekupata so unatumia software kujaza ammount but yenyewe inapeleka kwa word sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na unataka desktop software sivyo?
Mimi najaza details, kisha naweka cheque kwa Printer,
Ni rahis kujaza tu details na ku draft template lakin sasa software ingefaa zaidi,
Mfano Nikiweka tu amount in figures yenyewe iwe inatoa amount in word bila mimi kuhitajika kuandika tena,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo nimekupata so unatumia software kujaza ammount but yenyewe inapeleka kwa word sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, software inafanya hivyo.
Lakin nikitumia Ms Word au Excel ni mpaka nijaze kote. Hapa ni muda unapotea, pili uwezekano wa kukosea upo hata kama ni mdogo.
 
Kivip Mkuu?
Hundi ni ya Benki always, but inayohusu Biashara yangu, so vyote viwili ni sawa
Sasa hundi ya bank si ni hard copy tayari? Au unamaanisha nini boss?
 
Mimi najaza details, kisha naweka cheque kwa Printer,
Ni rahis kujaza tu details na ku draft template lakin sasa software ingefaa zaidi,
Mfano Nikiweka tu amount in figures yenyewe iwe inatoa amount in word bila mimi kuhitajika kuandika tena,
Kama unamaanisha reprinting hapo sidhani kama ni rahisi kuokota ready made software. Itabidi utafute mtu akuandikie hiyo specific software
 
Mbona kwenye excel unaweza weka andika tu amount in figures..halafu ukaweka formula ina convert into words yenyewe tu..halafu una copy hayo maneno unaandika cheque yako kwa mkono..simple tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anataka badala ya kuandika cheque kwa mkono, aingize details kwenye software na cheque kwenye printer, imjazie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiona kwenye post ya chini. Ahsante kwa ufafanuzi. Sioni kama ana options zaidi ya kuandika mwenyewe. Ngoja waje wataalam wa kuiba software...
 
Mbona kwenye excel unaweza weka andika tu amount in figures..halafu ukaweka formula ina convert into words yenyewe tu..halafu una copy hayo maneno unaandika cheque yako kwa mkono..simple tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida sio kwamba sijui kuandika amount in figures hivyo natafuta usaidizi wa ku translate figures/numbers into words, NO. Bali sitaki kutumia mkono kuandika cheki, nataka itoke ikiwa printed. Na sitaki kufanya kazi mbili mbili ya kuandika kwa tarakimu kisha nije niandike kwa maneno tena.

Pia ukiwa na software ni rahis zaid kutoa report mbali mbali kuliko kutumia excel nayotumia sasa. Hiyo option ya kuweka number kwa excel itoe maneno wafanyaje.
 
Sasa hundi ya bank si ni hard copy tayari? Au unamaanisha nini boss?
Benki si wamenipa kitabu (cheque book) ambayo ina empty leaves naitumia kulipa? Sasa nkitaka kulipa nachana ki pepa kimoja naichomeka tu kwa printer then naingiza data kwa computer na kuprint hiyo cheque (paper)
 
Benki si wamenipa kitabu (cheque book) ambayo ina empty leaves naitumia kulipa? Sasa nkitaka kulipa nachana ki pepa kimoja naichomeka tu kwa printer then naingiza data kwa computer na kuprint hiyo cheque (paper)
Hapo lazima custom software ihusike. Sio rahisi kukuta software inafanya hivyo tu.
 
Back
Top Bottom