Nahitaji smartphone isiyozidi laki mmoja

Nahitaji smartphone isiyozidi laki mmoja

elimuplatform

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,054
Reaction score
462
nipo dsm tuwasiliane,iwe na speed,internal memo kubwa kiasi na uwezo wa kadri
 
kanunue tecno ya tigo ya msimu wa sikukuu.
 
Zuoo zimejaa kariakoo ila angalia isijekuwa feki maana wataifungia
Bora uende Vodashop or tigo utapata ya 85000/-
 
zipo za tigo, voda na airtel sikukuu hii, chagua tu mtandao unaotaka, unapata vitu vyote + warranty, bila kusahau ofa kadhaa za kukusogeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom