Nahitaji Simu Galaxy s3 au Galaxy S4 Original

Nahitaji Simu Galaxy s3 au Galaxy S4 Original

American nigga

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
890
Reaction score
1,506
Kama Ulivyosoma hapo kichwa cha habari ninahitaji simu Galaxy s3 au S4 iwe original Bajeti yangu ni 170000 hadi 200000 iwe kwenye muonekano mzuri na isiwe na tatizo.
 
Offer ipo chini sana ndio maana raia wameingia mitini
 
Kama Ulivyosoma hapo kichwa cha habari ninahitaji simu Galaxy s3 au S4 iwe original Bajeti yangu ni 170000 hadi 200000 iwe kwenye muonekano mzuri na isiwe na tatizo.

Nichke me ninayo ingawa unaweza kuongeza kidgo
 

Attachments

  • 1433398091930.jpg
    1433398091930.jpg
    28.5 KB · Views: 74
Kama Ulivyosoma hapo kichwa cha habari ninahitaji simu Galaxy s3 au S4 iwe original Bajeti yangu ni 170000 hadi 200000 iwe kwenye muonekano mzuri na isiwe na tatizo.

Nichke me ninayo ingawa unaweza kuongeza kidgo,nichk kwa no 0715060183
 

Attachments

  • 1433400642358.jpg
    1433400642358.jpg
    44.6 KB · Views: 59
  • 1433400666108.jpg
    1433400666108.jpg
    43.2 KB · Views: 62
Back
Top Bottom