M MR UNINFORMED JF-Expert Member Sep 8, 2013 1,067 1,201 Apr 22, 2019 #1 Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante.
Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante.
Norshad JF-Expert Member Jun 3, 2013 5,128 12,217 Apr 22, 2019 #2 Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba
sir. Mwasongwe Senior Member May 30, 2015 105 73 Apr 23, 2019 #3 Hekari moja sh ngapi? Norshad said: Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba Click to expand...
Hekari moja sh ngapi? Norshad said: Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba Click to expand...
M melanin gal Member Sep 8, 2016 57 22 Apr 26, 2019 #5 Location na bei tafadhali Norshad said: Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba Click to expand...
Location na bei tafadhali Norshad said: Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba Click to expand...
Mr Confidential JF-Expert Member Jul 1, 2018 1,494 2,357 Apr 26, 2019 #6 melanin gal said: Location na bei tafadhali Click to expand... Mkuu ni shamba si kiwanja hahahaa
M melanin gal Member Sep 8, 2016 57 22 Apr 26, 2019 #7 Yes, nimeelewa. Nilikua nataka kujua lipo sehemu gani na bei yake Mr Confidential said: Mkuu ni shamba si kiwanja hahahaa Click to expand...
Yes, nimeelewa. Nilikua nataka kujua lipo sehemu gani na bei yake Mr Confidential said: Mkuu ni shamba si kiwanja hahahaa Click to expand...
Dalali Bunju Member Feb 10, 2014 44 65 Nov 16, 2019 #8 MR UNINFORMED said: Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante. Click to expand... Ulisha pata mkuu? Budget yako kiasi gani? (maana unaweza pata kubwa zaidi - kulingana na budget yako)
MR UNINFORMED said: Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante. Click to expand... Ulisha pata mkuu? Budget yako kiasi gani? (maana unaweza pata kubwa zaidi - kulingana na budget yako)
V viking JF-Expert Member Aug 23, 2012 2,143 1,291 Nov 16, 2019 #9 MR UNINFORMED said: Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante. Click to expand... ninalo Kisarawe eka. 10
MR UNINFORMED said: Salaam! Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5. Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa. Mwenye nalo aje inbox. Asante. Click to expand... ninalo Kisarawe eka. 10