Nahitaji shamba la kukodi Morogoro.

Nahitaji shamba la kukodi Morogoro.

Mkulima2002

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
291
Reaction score
216
Habari wakuu..
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-

1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza kuotesha/kustawisha maharage ama mahindi...
3} bei ya kukodi kwa kila ekari ni shilingi ngapi....

Note: kama unafahamu naomba uweke taarifa wazi hapa ili kama kuna mtu anahitaji naye apate taarifa.

natanguliza shukrani wakuu.
 
Back
Top Bottom