Mkulima2002
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 291
- 216
Habari wakuu..
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-
1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza kuotesha/kustawisha maharage ama mahindi...
3} bei ya kukodi kwa kila ekari ni shilingi ngapi....
Note: kama unafahamu naomba uweke taarifa wazi hapa ili kama kuna mtu anahitaji naye apate taarifa.
natanguliza shukrani wakuu.
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-
1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza kuotesha/kustawisha maharage ama mahindi...
3} bei ya kukodi kwa kila ekari ni shilingi ngapi....
Note: kama unafahamu naomba uweke taarifa wazi hapa ili kama kuna mtu anahitaji naye apate taarifa.
natanguliza shukrani wakuu.