Labda katafute madalali wa maeneo yale ' madalali ni watu wa details sana pesa yako tuu wanaweza hata kumng'oa mtu ukakaa wewe...habar wadau nna idea ya biashara fulani na location niliyotarget ni pale kigamboni au kivukoni kwa wajuvi nikitaka kuweka kibanda pale nafauta hatua gani
Bei imekaaje kwenye hizo spaceZile space zinauzwa azikodiwi
Zile space zinauzwa azikodiwi
Nna mshikaji yupo pale kivukoni anafany hizo. mamboHabari wadau nina idea ya biashara fulani na location niliyotarget ni pale Kigamboni au Kivukoni kwa wajuvi nikitaka kuweka kibanda pale nafuata hatua gani.
Nna mshikaji yupo pale kivukoni anafany hizo. mambo
Nikupe no?