Nahitaji secretary

Nahitaji secretary

Awe na Miaka 18 hadi 25 awe form 4 kuendelea,ajue kuongea kiingereza na kiswahili. Ajue kufanya miamala ya fedha benk.Ajue kutumia compyuta.awe muaminifu.awe anajua lugha ya kuvutia biashara Awe na wadhamini wawili..awe hapa dar. Cv zitumwe kupitia kwa CEO wa Lyatuu company ltd. 0783085858.0769881984.0715085858.kwa njia ya sms au E MAIL lyatuujudicate84@gmail.com.na whatsap namba 0783085858.
Ulishapata secretary hujatujulisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom