Nahitaji samaki wa kufuga

Nenda Kingolwira, Morogoro kuna kituo cha Ufugaji samaki chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Wanatoa huduma ya Ushauri na pia wanauza vifaranga vya samaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…