Nahitaji samaki aina ya sato wa kununua wanaofugwa

Nahitaji samaki aina ya sato wa kununua wanaofugwa

tintyeche

Member
Joined
Oct 3, 2021
Posts
9
Reaction score
6
Habarini ndugu zangu,

Nipo na uhitaji wa samaki aina ya sato wanaofugwa kwenye mabwawa waliotiyari kuvunwa, mahitaji yangu ni tani 2 kila week.

Kwa yeyote anaefahamu wanapopatikana, au yeye mwenyewe anao tujuzane tufanye biashara, mi niko Dar.
 
Habarini ndugu zangu,

Nipo na uhitaji wa samaki aina ya sato wanaofugwa kwenye mabwawa waliotiyari kuvunwa, mahitaji yangu ni tani 2 kila week.

Kwa yeyote anaefahamu wanapopatikana, au yeye mwenyewe anao tujuzane tufanye biashara, mi niko Dar.
Weka namba me ninao wakutosha

+255 621 069 240 20220524_182233.jpg
 
Wasiliana na Aje-Farms watakusaidia kupata mbegu nzuri na vifaa vingine vya ufugaji. 0687068077
 
Habarini ndugu zangu,

Nipo na uhitaji wa samaki aina ya sato wanaofugwa kwenye mabwawa waliotiyari kuvunwa, mahitaji yangu ni tani 2 kila week.

Kwa yeyote anaefahamu wanapopatikana, au yeye mwenyewe anao tujuzane tufanye biashara, mi niko Dar.

mmmh dili kubwa sana
 
Back
Top Bottom