kiasi gani,na je uko tayali kwa gei nitakayokutajia mimi.[/QUOT
Ikiwa nitapata kwa wiki basi gunia sio mbayaUnahitaji kiasi gani kwa wiki au mwezi na ujazo gani(debe)
Uhitaji wangu ni kumi tunina pumba nyingi lakini sijakuelewa,unamaanisha unataka gunia moja la pumba kwa wiki au!!!kama ndio unamaanisha hivyo basi hukupaswa kuandika uhitaji mkubwa maana kama ni gunia moja kwa wiki naamini hukohuko arusha ungelitafuta vizuri ungeweza kupata!!nilidhani unahitaji magunia 50 pengine na kuendelea kwa wiki ningekuwa attracted
Kwani hizo 50 ziko wapi na bei ikoje?Uhitaji wangu ni kumi tu