Nahitaji printer; Epson L 382

Nahitaji printer; Epson L 382

God iz bae

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
527
Reaction score
1,086
Habari zenu wakuu! Mimi nipo Dar, nahitaji printer aina hiyo nliyotaja hapo juu. Ikiwa mpya itapendeza zaidi. Nitajie bei na mahali unapopatikana.
Natanguliza shukrani[emoji120]
 
Habari zenu wakuu! Mimi nipo Dar, nahitaji printer aina hiyo nliyotaja hapo juu. Ikiwa mpya itapendeza zaidi. Nitajie bei na mahali unapopatikana.
Natanguliza shukrani[emoji120]
Habari mkuu. Karibu ofisi zetu zilizopo Machinga complex, piga 0742 499 177 kuwahi ofa hii. Bei 450,000

printer.PNG
 
Karibu sana mkuu. Epson l382 kwa 400000 tu. Tupo kariakoo mtaa wa kongo
 
Back
Top Bottom