Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics

Oct 24, 2021
6
0
Habari wakuu,
Samahani kwa mtu mwenye exprience na biashara ya stationary naomba msaada wa kiutaalam.
Nahitaji kuanzisha biashara ya stationary lakini sehemu nilipo kuna ushindani wa hiyo biashara.
Wenyewe copy wanatoa kwa sh 20 mpk 25 per page na kuprint ni sh 50 per page.
Manake ili uweze kuendana na mazingira hayo kibiashara lazima uwe na printer ambayo matumizi yake ya wino sio makubwa.
Sasa kwenye pitapita zangu kuna mtu kanambia kwamba printer ya EPSON L3111 itanifaa ila kwakuwa dina uzoefu na hivyo vifaa nikaona nilete mada hii hapa mezani ili walau nipate mawazo ya wajasitiamali wenzangu.
Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics
Ushauri tafadhali
 
Du ni changamoto hapo sio kitoto.
Hao watakuwa na machine makubwa ya canon.
Epson hizi Mimi naona nyingi kama una kazi heavy na busy Bora ubebe Canon 2520 au 2524
 
Habari wakuu,
Samahani kwa mtu mwenye exprience na biashara ya stationary naomba msaada wa kiutaalam.
Nahitaji kuanzisha biashara ya stationary lakini sehemu nilipo kuna ushindani wa hiyo biashara.
Wenyewe copy wanatoa kwa sh 20 mpk 25 per page na kuprint ni sh 50 per page.
Manake ili uweze kuendana na mazingira hayo kibiashara lazima uwe na printer ambayo matumizi yake ya wino sio makubwa.
Sasa kwenye pitapita zangu kuna mtu kanambia kwamba printer ya EPSON L3111 itanifaa ila kwakuwa dina uzoefu na hivyo vifaa nikaona nilete mada hii hapa mezani ili walau nipate mawazo ya wajasitiamali wenzangu.
Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics
Ushauri tafadhali
Pia kuna Epson L805 na L850 ni nzuri kwa kusafishia picha
 
Kwa sehemu kama hiyo ya ushindani huo ni ngumu kutoboa kwa kutumia viprinter vidogo,labda ujikite kwenye kusafisha picha na passport size uchukue mashine kama l3150 ,copy na print haiwezi kukulipa
 
Habari wakuu,
Samahani kwa mtu mwenye exprience na biashara ya stationary naomba msaada wa kiutaalam.
Nahitaji kuanzisha biashara ya stationary lakini sehemu nilipo kuna ushindani wa hiyo biashara.
Wenyewe copy wanatoa kwa sh 20 mpk 25 per page na kuprint ni sh 50 per page.
Manake ili uweze kuendana na mazingira hayo kibiashara lazima uwe na printer ambayo matumizi yake ya wino sio makubwa.
Sasa kwenye pitapita zangu kuna mtu kanambia kwamba printer ya EPSON L3111 itanifaa ila kwakuwa dina uzoefu na hivyo vifaa nikaona nilete mada hii hapa mezani ili walau nipate mawazo ya wajasitiamali wenzangu.
Nahitaji printer ambayo itafaa kwa graphics
Ushauri tafadhali
Kwa Biashara ya copy na printing za kawaida yaani black and white bora utumie Canon IR 2520 ila kwa Graphics tumia hizo Epson hizi hapa chini nakuwekea zinaprint A3 ndiyo maana bei yake imesimama kwa Epson.

Ila Station ukisema utoe copy na printing kwa Epson itakufilisi
Screenshot_2022-01-28-21-25-26-31.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom