Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,763
Samahani mwaka huu nimeanzisha biashara ya kuprint picha,passport size, copy na scanning hivyo nilijaribu ku install Adobe photoshop lakini nikagundua pc yangu haina uwezo wa ku run Adobe photoshop na pc yangu ni core i3 10th gen, Ram 4, 1tb hivyo nahitaji program nzuri na ambayo ita run smoothly kwenye pc yangu. Sihitaji Epson Easy photo print maana ninayo nahitaji software nyingine.