fredymkanza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 284
- 152
Heshima yenu wadau,
Naomba ushauri wenu nina kampuni yangu nilifungua mwaka jana ila mambo yanakuwa magumu sana, ni kipi napaswa kufanya?
Mpaka nimewaza kutafuta partiner ila sijui linakuwaje hili.
Ushauri wenu tafadhali
Naomba ushauri wenu nina kampuni yangu nilifungua mwaka jana ila mambo yanakuwa magumu sana, ni kipi napaswa kufanya?
Mpaka nimewaza kutafuta partiner ila sijui linakuwaje hili.
Ushauri wenu tafadhali