steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,343 Reaction score 13,365 Dec 3, 2013 #1 Wakuu,Bajeti yangu ni Milioni 8,mwenye nayo iliyosimama aje kwenye uzi huu tubargain biashara,serious please!!
Wakuu,Bajeti yangu ni Milioni 8,mwenye nayo iliyosimama aje kwenye uzi huu tubargain biashara,serious please!!
M masagati JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 496 Reaction score 363 Dec 3, 2013 #2 Huja sema ofa yako sh?
Anyisile Obheli JF-Expert Member Joined Dec 13, 2009 Posts 3,402 Reaction score 320 Dec 3, 2013 #3 call this no +971 55 2764848 for more information
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Dec 3, 2013 #4 Kwa hizo kms unazozitaka sina hakika km utaipata labda ilofanyiwa dashboard overhaul!
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,343 Reaction score 13,365 Dec 3, 2013 Thread starter #5 masagati said: Huja sema ofa yako sh? Click to expand... Milioni 8 mkuu
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,343 Reaction score 13,365 Dec 3, 2013 Thread starter #6 genekai said: Kwa hizo kms unazozitaka sina hakika km utaipata labda ilofanyiwa dashboard overhaul! Click to expand... Hizi mkuu mbona zikiwa mpya ni mil 12,used in bongo kwa bei hyo ya mil8 inawezekana kaka,
genekai said: Kwa hizo kms unazozitaka sina hakika km utaipata labda ilofanyiwa dashboard overhaul! Click to expand... Hizi mkuu mbona zikiwa mpya ni mil 12,used in bongo kwa bei hyo ya mil8 inawezekana kaka,
E engineer manyota Member Joined Apr 1, 2012 Posts 23 Reaction score 8 Dec 3, 2013 #7 Ninayo ila kilometer 150k, kwa bei hiyo haya ukiagiza hupati
naluhwa JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 217 Reaction score 38 Dec 3, 2013 #8 masagati said: Huja sema ofa yako sh? Click to expand... Sikashasema 8m?au hujaelewa?
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,343 Reaction score 13,365 Dec 4, 2013 Thread starter #9 engineer manyota said: Ninayo ila kilometer 150k, kwa bei hiyo haya ukiagiza hupati Click to expand... Ningeichukua kaka sema timing belt lazima niitime sana,itanizingu mkuu
engineer manyota said: Ninayo ila kilometer 150k, kwa bei hiyo haya ukiagiza hupati Click to expand... Ningeichukua kaka sema timing belt lazima niitime sana,itanizingu mkuu
E engineer manyota Member Joined Apr 1, 2012 Posts 23 Reaction score 8 Dec 4, 2013 #10 Okey ila sioni kama ni ishu...
lukatony JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 689 Reaction score 569 Dec 4, 2013 #11 steveachi said: Wakuu,Bajeti yangu ni Milioni 8,mwenye nayo iliyosimama aje kwenye uzi huu tubargain biashara,serious please!! Click to expand... https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/548177-nahitaji-ipsum-old-model.html
steveachi said: Wakuu,Bajeti yangu ni Milioni 8,mwenye nayo iliyosimama aje kwenye uzi huu tubargain biashara,serious please!! Click to expand... https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/548177-nahitaji-ipsum-old-model.html
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,343 Reaction score 13,365 Dec 4, 2013 Thread starter #12 Bado sijaipata wazee,wanaoni-pm wengi za kwao sijakubaliana ma hali zake,letenj mizigo inayoeleweka wazee
Bado sijaipata wazee,wanaoni-pm wengi za kwao sijakubaliana ma hali zake,letenj mizigo inayoeleweka wazee
doama JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 808 Reaction score 650 Dec 4, 2013 #13 Voxy vp mkuu, BXT 90,km@10