Nahitaji nyumba ya kupanga Dar

Nahitaji nyumba ya kupanga Dar

Chambuso2017

Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
50
Reaction score
22
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki tatu kwa mwezi. Kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu, nahitaji mkataba wa miezi mitatu mitatu yaani laki tisa kila miezi mitatu. Hata ukihitaji nikulipe laki zako tatu kila tarehe moja pia inawezekana. Malipo ni uhakika. Nasikitika sina bajeti ya dalali. Mwenye nyumba anicheki PM.
 
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko na vyoo. Iwe maeneo ya Mbezi beach hadi Tegeta au Kunduchi - Dar es salaam. Iwe na maji na umeme na pia iwe na fensi. Bajeti ni laki tatu kwa mwezi. Kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu, nahitaji mkataba wa miezi mitatu mitatu yaani laki tisa kila miezi mitatu. Hata ukihitaji nikulipe laki zako tatu kila tarehe moja pia inawezekana. Malipo ni uhakika. Nasikitika sina bajeti ya dalali. Mwenye nyumba anicheki PM.
Kama huna bajeti ya dalali nakushauri,uwe na subira sana hadi wenye nyumba waje JF sio leo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Information cost. Hauna budi kuwapa iyo madalali taifa liko too spoiled hamna namna ya kukwepa. Niliwahi kuwa mgumu ivo nikawa natafuta nyumba yenye vigezo ivo kimya kimya...nilizunguka dar mpaka nikachoka. Nilipotangaza kwa madalali asubuhi jioni nilioneshwa nyumba nzuri tena vyumba 4 na iko full parking gar3 , self na full security , maji na umeme yani full ya pekee. Unajua nn? Nyumba ilikuwa mtaa unafuata toka nilikopanga na uzuri wake nilikuwa naipitaga tu kwani ilikuwa matawi ya juu kinondoni. Father house siku iyo iyo nikamlipa na ndani ya masaa machache ya siku iyo dalali akawa kashakula laki4.

Nikajua kila mtu ana ridhiki yake japo na mm nilifaidi kupata nyumba ya viwango. Kwa kifupi madalali hawakwepeki labda upange pangoni. Information/ knowledge is power and has its value.
 
Kamara Suka ipo ya Vyumba 4 vya kulala.

Jiko, sebule n.k ndani ya fensi kwa 400,000/= kodi kuanzia miezi 10, mazungumzo yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom