Nahitaji Novel za kiingereza za kusisimua

Nahitaji Novel za kiingereza za kusisimua

Umetaja hao authors nimesisimka kama nimeonyeshwa ukwaju.... U know wara am seing.... I can sacrifice my sleep for these authors. Shule nlikua niko radhi nimnunulie mtu mandazi just so I can read after them novel za hao watu
Kweli ndo walionipa huu ugwonjwa wa kuwa addicted na novel alaf wote wanachuna. Ulisoma yipi katika hizo au nyingine yipi kuna blood line, the secret. Her loyal highness. To mention a few
 
Kweli ndo walionipa huu ugwonjwa wa kuwa addicted na novel alaf wote wanachuna. Ulisoma yipi katika hizo au nyingine yipi kuna blood line, the secret. Her loyal highness. To mention a few
Inaonesha unesoma vitabu vingi vya hao waandishi. Unaweza kuwa na soft copy ya hivyo vitabu na kushare nasi humu? Ahsante
 
mngekua mnaweka na softcopy za hizo novel au link ya kudownload basi na sisi wengine tukajionea wenyewe.
 
Mkuu Elungata, tupia na list kabsa hata vitabu 5 tushike navyo
Hivi vitabu kwa mfano The hunter cha Tom wood,ni cha miaka ya karibuni,sidhani kama utakipata hapa bongo,ila kudownload mbona sio kazi ilimradi uwe na app ya kuvisomea,

hiyo The hunter imehusisha pia scene za mji wa Tanga,
ni action packade novel kuanzia page one hadi mwisho,

katika hizi novel za intelligency hapa dunia hizi namba Tatu za wandishi ni noumer,wanaandika vitu kama real,

-mark Greaney
-Tom wood.
-Tom clancy
 
Mwenye novel nzuri kwa ajili ya watoto wa age 10 - 16 tafadhari nijuze, nazihitaji.
 
Umetaja hao authors nimesisimka kama nimeonyeshwa ukwaju.... U know wara am seing.... I can sacrifice my sleep for these authors. Shule nlikua niko radhi nimnunulie mtu mandazi just so I can read after them novel za hao watu

Sidney Sheldon na James H Chase mpaka sasa nilishashindwa kusema nani yuko juu ya mwenzake, jamaa wa thrillers za ukweli.
 
Umetaja hao authors nimesisimka kama nimeonyeshwa ukwaju.... U know wara am seing.... I can sacrifice my sleep for these authors. Shule nlikua niko radhi nimnunulie mtu mandazi just so I can read after them novel za hao watu
Vinapatikana wapi
 
The poet
The brass verdict Michael connelly

Camel club
Last man standing
David Baldacci

Day of the jackal
Another Boleyn Girl
The Queen
 
Umetaja hao authors nimesisimka kama nimeonyeshwa ukwaju.... U know wara am seing.... I can sacrifice my sleep for these authors. Shule nlikua niko radhi nimnunulie mtu mandazi just so I can read after them novel za hao watu

Wakati niko shule, kuna besti tulikuwa wasomaji wazuri wa vitabu hivi, akafanikiwa kusoma kimoja na zamu ilikuwa ya mwingine, si mimi. Akanipa jioni nipitishe macho ili asubuhi tumpe mwenye zamu. Nilifunga kitabu na kuchomoza kwa jua...nilivyoteseka darasani na usingizi..sitakaa nisahau...
 
Mwenye novel nzuri kwa ajili ya watoto wa age 10 - 16 tafadhari nijuze, nazihitaji.
Inategemea yuko kidato changapi. Kama ni msingi mara nyingi wanatumia reading story books. kama hare and hyena au snow white, Cindalera.

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom