Nahitaji mwl wa diploma wa Masomo ya MATHS, PHYSICS &HISTORY

Nahitaji mwl wa diploma wa Masomo ya MATHS, PHYSICS &HISTORY

CHIPANJE

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
321
Reaction score
53
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo

0629836915

DEADLINE 19/12/2016
 
Dau liwe nono maana kwa sasa wana kiburi cha Serikali kutoa Tangazo ka Ajira. Fanya dau lako lizidi hilo ambalo watalipwa na Serikali.

Alafu tafuta hata wataalamu ambao hawana hiyo Diploma lakini wanashusha madude hatari.
 
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo

0629836915

Wewe ni mwanafunzi unataka kufundishwa au una shule unataka kumpatia kazi ya kufundisha wanafunzi...?

Naomba kufaham mkuu.

Shukran.
 
Dau liwe nono maana kwa sasa wana kiburi cha Serikali kutoa Tangazo ka Ajira. Fanya dau lako lizidi hilo ambalo watalipwa na Serikali.

Alafu tafuta hata wataalamu ambao hawana hiyo Diploma lakini wanashusha madude hatari.
Kiwango gani cha elimu unacho?
 
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo

0629836915
Mimi nipo tayari sehemu yoyote ilipo shule
 
Mimi ni mwalimu wa history na nina diploma ya education. Hiyo shule yako iko wap
 
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo

0629836915

DEADLINE 19/12/2016
Mimi nasomea bachelor ya " education with mathematics & IT" chuo cha NIT .je naweza kupata part time shuleni kwako? Kiwango cha elimu ya kati ni " Ordinary Diploma of Engineering in Electrical Engineering' kuttoka DIT
 
Ndugu wanajamiiforums, naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo tajwa anitafute kwa mawasiliano yafuatayo

0629836915

DEADLINE 19/12/2016
Mm nimemaliza mwaka huu nina bachelor ya education kwenye masomo ya physics/chemistry vip naweza pata?
 
Mkuu Naomba nijue shule iko wapi!?....mbona hujatoa hata address ya shule/kituo.
 
Back
Top Bottom