Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

femaleagle

Member
Dec 16, 2017
27
36
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..
 
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..
Kama uko tayari kubadili dini uwe mwislam ni pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom