Naipuli
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 266
- 109
Ndugu wana JF,
Nahitaji mwanamke wa KUOA, awe na angalau sifa zifuatazo:-
Dini: Muslim mwenye kujitambua na kumjua Mola wake kwa vitendo.
Elimu: Aliyehitimu kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Mwalimu ni first priority na wengine wanakubalika pia, isipokuwa JESHI (Polisi, magereza n.k), Hakimu na wanaofanana na hao.
Umri: Miaka 18-24
Rangi: Yoyote inakubalika
Height: 150cm and above.
Umbo: Katinakati, asiwe mnene sana wala mwembamba sana.
Kwa ujumla wake: Awe mwenye tabia njema zinazokubalika na jamii hususani ya kiislamu na kitanzania pia, na zinazoridhiwa na Mwenyezi Mungu aliyeumba Mbingu na Ardhi na vilivyomo.
Nafikiri nimeeleweka, mwenye sifa tajwa hapo juu, au ndugu au rafiki au jamaa, na mwenye kutaka kufaham zaidi anaweza KUNI-PM.
Nahitaji mwanamke wa KUOA, awe na angalau sifa zifuatazo:-
Dini: Muslim mwenye kujitambua na kumjua Mola wake kwa vitendo.
Elimu: Aliyehitimu kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Mwalimu ni first priority na wengine wanakubalika pia, isipokuwa JESHI (Polisi, magereza n.k), Hakimu na wanaofanana na hao.
Umri: Miaka 18-24
Rangi: Yoyote inakubalika
Height: 150cm and above.
Umbo: Katinakati, asiwe mnene sana wala mwembamba sana.
Kwa ujumla wake: Awe mwenye tabia njema zinazokubalika na jamii hususani ya kiislamu na kitanzania pia, na zinazoridhiwa na Mwenyezi Mungu aliyeumba Mbingu na Ardhi na vilivyomo.
Nafikiri nimeeleweka, mwenye sifa tajwa hapo juu, au ndugu au rafiki au jamaa, na mwenye kutaka kufaham zaidi anaweza KUNI-PM.