Nahitaji mwanamke atakayenijali

Nahitaji mwanamke atakayenijali

ARNOLD HENRY

New Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Namtafuta mwanamke atakaye jali thamani ya maneno yangu na jinsi mimi nilivyo mwenye mapenzi ya dhati juu yangu.
 
Teh wanajali PESA, na mali zako....

Maneno peleka stend, au vjwe vya stori....

Anywei....just a joke
 
Ahaaaaaaaa atakaekujari thamani yako? Kivipi? Ahaaaaa ebu elezea wenda kuna kitu umekisahau embu rudi hapa ukitaje.
 
Huna pesa "ajali thamani ya maneno yako"
Huna pesa "awe na mapenzi ya dhati juu yako"

Mnh! labda haukijui hichi kizazi cha nyoka. Ila endelea kutafuta unaweza ukabahatika
 
Namtafuta mwanamke atakaye jali thamani ya maneno yangu na jinsi mimi nilivyo mwenye mapenzi ya dhati juu yangu.

Mwee.......hebu nieleze mwaya........uenda nikakuelewa........nieleze polepole......una maanisha nini unavyosema........JINSI MIMI NILIVYO.........achana na kina asasa........ sumbai........na Evelyn Salt.........hawajui kitu............
 
Last edited by a moderator:
Atajali maneno yapi ya thamani kama wewe mwenyewe kujipigia debe tu umeshindwa??
 
Namtafuta mwanamke atakaye jali thamani ya maneno yangu na jinsi mimi nilivyo mwenye mapenzi ya dhati juu yangu.

Ndugu yangu unajua unaweza ukawa unamaanisha jambo ila ukaonekana unaleta mbwembwe Kujiletea umaarufu ila omba mungu penye nia pana njia mungu atakusaidia utampata usijali ila muombe sana mungu
 
Thamani ya maneno yako bila kipato wala uwezo wa kumtunza?? Jinsi ulivyo... kwani ukoje??
 
Mwee.......hebu nieleze mwaya........uenda nikakuelewa........nieleze polepole......una maanisha nini unavyosema........JINSI MIMI NILIVYO.........achana na kina asasa........ sumbai........na Evelyn Salt.........hawajui kitu............

Anamaanisha anamiliki roho tu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom