Nahitaji mwanamke 35+

Nahitaji mwanamke 35+

Nynyi hamna kuoa ni waharibifu muoaje hajisifu hata siku moja na kama unataka kuoa bc tafuta watu wazima kwanza watakutafutia mwanamke wa heshima sawa? Lkn sikuhizi hakuna mapenzi kwani vijana wa siku hzi kwanza mpaka waonjane kwanza ndoa baadae jamani tutafika kweli?
 
Wacheni uzinzi kama mnataka wanawake wa kuoa bc wekeni tangazo kwenye redio humu hamna mwanamke wa kudumu
samahani ndugu yangu,huo ni mtazamo hasi,anyway ndio ''power of reason'' yako Mungu aliyo kupa
 
Nynyi hamna kuoa ni waharibifu muoaje hajisifu hata siku moja na kama unataka kuoa bc tafuta watu wazima kwanza watakutafutia mwanamke wa heshima sawa? Lkn sikuhizi hakuna mapenzi kwani vijana wa siku hzi kwanza mpaka waonjane kwanza ndoa baadae jamani tutafika kweli?
na mie ni mtu mzima na nimekwisha simamia ndoa za watu na ziko imara hata sasa.nakubaliana nawe kuwa siku hizi mapenzi ni ya masha ka lakini hii husababishwa na mengi,ikiwa ni pamoja na wewe.
 
unatafta mwanamke wa hvyo kwa vigezo gani?aweje?
Akisha kuwa mwanamke tu; wa umri huo mwenye akili timamu inatosha,Mungu hakuumba vigezo, alimuumba mwanamke a.k.a Hawa a.k.a Eva kutoka ubavuni mwa Adam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom